Wewe unayejua, bado hujui kuwa Syria inakaliwa na makundi kibao ikiwamo makundi ambayo yana ugomvi na Israel. Uliwahi kusikia katika kujua kwako, Ikulu ya Assad imeshambuliwa na makombora ya Israel au US? Hao mabasha wako Israel wamewahi kushambulia iliko mifumo ya S-400 huko Syria. Usijifanye...
Hiyo Blackbird ambayo ilikuwa na speed kuliko misile kipindi hicho ilifanya mission ipi successfully? Mandege yote hayo yanabakia na sifa za kwenye makaratasi tu. Hata huzo F-16 wanaogopa kuzipeleka Ukraine. Wanazo 800 si wampe hata tano tu Ukraine akamalize kazi kama zina uwezo huo wanaosifia...
Umeambiwa kabisa "in accordance with international law" bado unabwabwaja. Na Iran sio kwamba hawakuiona, waliiona na wakastuka. Hata unachokiandika mwenyewe hukielewi. Kutetea upinde ni changamoto sana.
Na mchungaji huyo ndo wewe mwenyewe, muadventista maskini, unayejaribu kujustify umaskini wako kwa kuwapa lawama wakatoliki kuwa kwa wao kuabudu sanamu, Mungu anakulaani wewe unakosa hela ya kula.
Ulishawahi kuona sehemu wakatoliki wameweka sanamu wanaliita Mungu na kuliabudu kama Mungu wao...
Ulitegemea BBC, SKYNEWS au CNN walete hiyo habari? Hivi unajua proganda dhidi ya Urusi inavyopigwa na Western tangu miaka hiyo, au unaropoka tu. Soma walau riwaya cha Vuta Nkuvute, walau uone namna gani Urusi imekuwa ikipigwa vita miaka yote.
Karibia theluthi mbili ya Russia haikaliwi na watu. Ukraine ina ukubwa wa km2 603,700, ni nchi ndogo hiyo? Marekani yenye watu mil 300, na UK yenye watu mil 70+ ilikwenda kupigana na Libya yenye watu mil 7 japokuwa Libwa ni kubwa maradufu kuliko UK. Udogo wa kwenye ramani usikupotoshe.
Ukraine ni nchi ndogo? We naye kichwani empty kweli. Yaani hata jiografia ya darasa la sita hujui, kasome hata Atlas basi uone kama Ukraine ni nchi ndogo.
Kumbe hii ultimatum uliiweka wewe, nilikuwa natafuta hii taarifa nijue ni lini Russia walisema vita itaisha ndani ya wiki, kumbe umekuwa ukijitekenya na kucheka mwenyewe.
Russia has more nuclear war heads or nuclear bombs to be precise, than any country in the world. Muwage mnafuatilia mambo sio kusubiri matukio ndo mvae taaluma ya uchambuzi.
Mkopo sio msaada, unalipwa. Na ukikopeshwa maana yake una amana za kutosha kulipa mkopo huo. Ni watu jasiri tu ndo wanaoweza kukopa kiasi hicho cha fedha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.