Flying the F-35 stealth fighter can leave pilots looking 'like they are 100 years old,' says test pilot

Sijui elimu yako ya kiwango gani, reading between the lines hata uelewa wako wa masuala ya Roketi sayansi ni very dismal kabisa ndio maana unakimbilia kutaja taja vitu ambavyo ni totally incoherent - eti Elon Musk anawazidi hata Warusi katika teknolojia ya Roketi Science - unamudanganya nani? mbona juzi Roketi ya Elon ambayo western media na watu mbumbumbu kama wewe mlikwisha itangazia Dunia kwamba hiyo emekuwa designed specifically kwenda Mwezini - sasa kitu gani kilitokea baada ya kui-launch haikuchukua hata sekunde akalipukia mbali - sasa kwa akili zako za ajabu, kama unafikiri makampuni ya Merikani yanayo jihusisha na masuala ya ku-launch communication and spy satellite mara zote utegemea first stage rocket engine (booster) zinazo undwa Urusi na sio Merikani au taifa lingine - je, umewahi kusikia Russian rocket engine booster zinazo uzwa Merikani zikilipuka in the air au kwenye launching PAD, hakuna. Hata Elon Musk mwenyewe aliwahi kukiri kwamba linapokuja kwenye Tocket engines design Warusi zaidi sasa wewe mtumia Bill Gates Bing kufatilia masuala ya roketis, unanafikiri utapata hits ngapi zinazo sifia everything made in US ndio lengo la maprogrammer wa USA kupotosha watu kwavkuisofu sifu hata ambapo ni uongo mtupu - waulize watu walio wahi kusoma quick search na bubble search watakwambia subroutine ambabazo zinaweza kuwa embedded deliberately kukuletea matokeo chanya unapo guzia topic yoyote kuhusu USA unauliza swali hili inakuletea majibu engine pamoja na links za kuendeleza propganda - kwa bahati mbaya na wewe umekuea victim wa ptopaganda hizi za kuchonga because you dont know what goes inside the hood, nimrsoma soma majibu yako nika conclude hivyo - take it or leave it up2U, husifikiri unaweza kuvuta kamba kila member hapa - tunajua mengi lakini hatuyasemi-we bakia na stori zako za ku-brush viatu na kuvaa suti wakati wenzako wakizungumzia ma pioneers wa sayansi ya kweli na yenye mshiko.t

FYI mataifa yenye uwezo wa kuunda Roketi za kwenda Mwezini bila shida ni Warusi na Wachina, mwanzo nilikuwa inquisitive baada ya kuona base ya Roketi za Elon Musk na kwa nini zinalipuka lipuka sana, finally nika-conclude kwamba si ajabu Elon Musk anajaribu kuiga designs za Russian N1 engine za miaka ya nyuma zilikuwa very power lakini roketi moja wapo kati ya 21 zilizokuwa arranged in concentric mode ikitokea hititafu moja wapo ika-fail base computer inazima rocket engines zote nakuifanya rocketi nzima kurudi tena aridhini na kulipuka.

Labda nikohoji swali dogo: nakuomba tena ujaribu kusoma tena ulicho andika hapa - are you a level headed person kweli au? Hapa tunazungumzia masuala ya sayansi na teknolojia na kuweka wazi contribution za wanasayansi wa Urusi walizo wahi ku-contribute Duniani lakini vyombo vya habari vya magharibi akiwemo na wewe hamtaki masuala hayo yajulikane mnakuwa overly driven by rabid hatred of everything Russian - sisi tuko tayari kusema ukweli ili Dunian iondokane na kasumba ya propaganda za kijinga ya mabeberu ya masaa yote kutaka kuwadharau Warusi bila sababu yoyote - tangu Zelensky/NATO na vikaragosi wao vifaru vyao na silaha nyingine kutiwa kiberiti na silaha za Urusi - siku hizi kiburi cha NATO/USA kimeanza kuyeyuka pole pole kama barafu.
Kawaida ya ngumbaru huwa wanaandika takataka nyingi kwa vilio, lawama na visingizio. Huwezi leta facts maana zitakuumbua. Mimi naweka namba za kampuni binafsi ya SpaceX na CEO Elon Musk, wala sitaji za NASA shirika la serikali. Na wewe weka za kwako za serikali ya Urusi na ROSCOSMOS yake. Twende.

1. Rocket kubwa ya SpaceX iliyopo kwenye development ni Spaceship ambayo ni reusable. Unaenda nje ya dunia, unarudi kisha unaitumia tena. Urusi hata wauze kipande kingine cha nchi (kama walivyouza Alaska kwa Marekani, uone walivyo wapumbavu) hawawezi pata hiyo teknolojia. Kama ipo itaje, ni rocket ipi ya Urusi ni reusable iko kwenye development? Badala yake wanaendelea kutengeneza za single use na gharama zao zinakuwa kubwa sana kuliko SpaceX. Hiyo rocket iliyolipuka ilikuwa kwenye testing, ulivyo kilaza unasema SpaceX wanawaiga Warusi, unawezaje kuiga mtu kitu ambacho hajui na hana? Urusi kitu kama hiki akipate wapi
230413112851-spacex-starship-launchpad-file.jpg


Nchi hata kutengeneza magari mpaka ipewe components na Renault au Volkswagen ndio uje kujitapa nayo hapa kisa inatoa components za rockets za Marekani. Waache kutoa hizo components wafirisi makampuni yao na tuone kama Marekani haitofanya kazi zake, China aitishe Marekani sawa, ila Urusi inayoshindana nafasi ya kiuchumi na South Korea ambaye kalelewa kiuchumi na Marekani inapataje kulinganisha na Marekani?

2. Success rate ya Falcon 9 rocket ya SpaceX ni 99.2%, rocket gani ya Urusi ina success rate kubwa hivi? Itaje, si unasema Warusi wana rocket za uhakika.

3. SpaceX Falcon 9 inaweza beba tani 53, Boeing wana rocket inaweza beba tani zaidi ya 20. Urusi wana Soyuz wanairingia sana na kuiona ya kipekee inabeba hata tani moja haifiki😂. Huwa inaishia kubeba watu watatu na kurudisha uchafu kutoka ISS.

4. Falcon 9 imerushwa mara 61 mwaka jana, hiyo ni kampuni moja. Bado kuna Boeing, NASA, kampuni ya Jeff Bezos na wengine. Sasa wewe taja idadi ya rocket launches za ROSCOSMOS peke yake tuone kama zinafika hata za SpaceX.

Ulivyo na upotofu unadai Warusi ndio wanajua rockets peke yao. Hizi kazi za kina nani?
SpaceX-Starship-rocket-comparison-April.jpg
 
Syria hakuna S-400. Kitendo cha kuandika hivi nishajua nikuweke kundi gani. Kwanini useme vitu hujui?

Syria tangu wapate zile air defense systems za Urusi mashambulizi ya Israel yaliisha? Kuna siku uliwahi ona hata ndege moja ya Israel imeanguka Syria? Sasa hizo systems zinafanya kazi gani.

Alafu nani kakwambia Marekani ni lazima itoe ndege, unajua katiba yao na taratibu zao kimataifa? Unawapangia cha kufanya? Kama inakuuma sana si uiambie nchi yako ipeleke ndege uko Ukraine. Na je kama wanataka kupeleka unawapangia wapeleke lini?
Akili za kishamba za "kama Bakhressa ana hela basi awape walalahoi chakula wale" as if yeye alitafuta ili alishe wasiojiweza.
Aliyekwambia Marekani ilitengeneza ndege, ikafundisha trainers na marubani na technicians na crew yote ili izitoe hizo ndege kwa Ukraine nani.

Urusi kuna S-400, S-300, Pantsir, TOR na nyingine ndio. Ila mwaka huu Ukraine ilitumia drones za kununua Alibaba na AliExpress kupiga Kremlin, ikulu ya Urusi.

Alafu unaulizia missions za Blackbird eeh? Unajua Mig-25 na baadae Mig-31 zilitengenezwa kupigana na ndege gani? Sasa kama wewe Mnyakyusa wa Mbondole unasema Blackbird haikuwa na maana dhidi ya Warusi its either unawajua Warusi kuwazidi au wao ni vilaza na wapumbavu. Sababu wao waliona tishio la Blackbird wakaunda hizo ndege kama interceptors.

Na Blackbird missions zake zimefanikiwa sana tu, mara kibao inarushiwa makombora ya Urusi inayakimbia huku ikipiga picha maeneo muhimu kama nuclear silos, airbases, HQ, military drills, positions of military installations na vitu kibao vingine. Ni kwamba unajifanya hujui kama Warusi walikuwa wanakimbizana yao kwenye anga lao na hawaipati, sasa hizo sio successful missions?
Wewe unayejua, bado hujui kuwa Syria inakaliwa na makundi kibao ikiwamo makundi ambayo yana ugomvi na Israel. Uliwahi kusikia katika kujua kwako, Ikulu ya Assad imeshambuliwa na makombora ya Israel au US? Hao mabasha wako Israel wamewahi kushambulia iliko mifumo ya S-400 huko Syria. Usijifanye kujua sana mzee, wote tunasoma reported news.
 
Wewe unayejua, bado hujui kuwa Syria inakaliwa na makundi kibao ikiwamo makundi ambayo yana ugomvi na Israel. Uliwahi kusikia katika kujua kwako, Ikulu ya Assad imeshambuliwa na makombora ya Israel au US? Hao mabasha wako Israel wamewahi kushambulia iliko mifumo ya S-400 huko Syria. Usijifanye kujua sana mzee, wote tunasoma reported news.
Israel sio wapumbavu kushambulia Rais incompetent wa nchi hasimu ambaye uwepo wake nchi ile unaiharibu na kuifanya iwe weak. Wamuue aje Rais mwenye uwezo awasumbue? Yani aje Rais kama Hafez baba yake Assad huyu hapo Israel itachukia.
Kwanza ni nchi chache sana zinafanya mission ya waziwazi kumuua Rais wa nchi, ni USSR ilimuua Rais wa Afghanistan akiwa ikulu kwake kwa kumvamia na jeshi lao alilolikaribisha mwenyewe.

Pia Israel haishambulii jeshi la Syria, inamshambulia military supplies za Iran zinazopitia Syria kwenda makundi hasimu ya Israel. Hakuna siku utasikia Israel imeshambulia wanajeshi wa Syria wakiwa peke yao na silaha zao wenyewe, wakifa Wasyria inakuwa collateral damage sababu wanakuwa eneo la tukio ila sio lengo.

Na kakwambia nani Israel ina mpango wa kushambulia S-400? Kwani lini Israel imeingia vitani na Russia. S-400 za Russia zinalinda military installations zake ndani ya Syria na hazitumiwi na Iran wala Syria. Zitatumika endapo Russia itakuwa na confrontation na Israel. Tangu zimekuwepo uliwahi sikia Russia imeshambulia ndege za Israel zinazozurula freely angani.
It's very simple, atakayetumia silaha yake kuishambulia Israel ajiandae silaha yake kushambuliwa na Israel, ndio wanafanya hivyo miaka yote. Siku ukiona S-400 zimeshambulia ndege ya Israel ndio uulize kwanini Israel haizishambulii
 
Kawaida ya ngumbaru huwa wanaandika takataka nyingi kwa vilio, lawama na visingizio. Huwezi leta facts maana zitakuumbua. Mimi naweka namba za kampuni binafsi ya SpaceX na CEO Elon Musk, wala sitaji za NASA shirika la serikali. Na wewe weka za kwako za serikali ya Urusi na ROSCOSMOS yake. Twende.

1. Rocket kubwa ya SpaceX iliyopo kwenye development ni Spaceship ambayo ni reusable. Unaenda nje ya dunia, unarudi kisha unaitumia tena. Urusi hata wauze kipande kingine cha nchi (kama walivyouza Alaska kwa Marekani, uone walivyo wapumbavu) hawawezi pata hiyo teknolojia. Kama ipo itaje, ni rocket ipi ya Urusi ni reusable iko kwenye development? Badala yake wanaendelea kutengeneza za single use na gharama zao zinakuwa kubwa sana kuliko SpaceX. Hiyo rocket iliyolipuka ilikuwa kwenye testing, ulivyo kilaza unasema SpaceX wanawaiga Warusi, unawezaje kuiga mtu kitu ambacho hajui na hana? Urusi kitu kama hiki akipate wapiView attachment 2665657

Nchi hata kutengeneza magari mpaka ipewe components na Renault au Volkswagen ndio uje kujitapa nayo hapa kisa inatoa components za rockets za Marekani. Waache kutoa hizo components wafirisi makampuni yao na tuone kama Marekani haitofanya kazi zake, China aitishe Marekani sawa, ila Urusi inayoshindana nafasi ya kiuchumi na South Korea ambaye kalelewa kiuchumi na Marekani inapataje kulinganisha na Marekani?

2. Success rate ya Falcon 9 rocket ya SpaceX ni 99.2%, rocket gani ya Urusi ina success rate kubwa hivi? Itaje, si unasema Warusi wana rocket za uhakika.

3. SpaceX Falcon 9 inaweza beba tani 53, Boeing wana rocket inaweza beba tani zaidi ya 20. Urusi wana Soyuz wanairingia sana na kuiona ya kipekee inabeba hata tani moja haifiki😂. Huwa inaishia kubeba watu watatu na kurudisha uchafu kutoka ISS.

4. Falcon 9 imerushwa mara 61 mwaka jana, hiyo ni kampuni moja. Bado kuna Boeing, NASA, kampuni ya Jeff Bezos na wengine. Sasa wewe taja idadi ya rocket launches za ROSCOSMOS peke yake tuone kama zinafika hata za SpaceX.

Ulivyo na upotofu unadai Warusi ndio wanajua rockets peke yao. Hizi kazi za kina nani?View attachment 2665652
Unamzungumzia NASA aliyeshindwa kumrudisha duniani mwana-anga wake hadi wakaomba msaada RUSSIA?




 
Huyo pro west amesahau kuwa zinatengenezwa kwa Kodi ya Wamarekani na Zina gharama kubwa Sana.
Hata ndugu zako kule Kanyigo wanatumia ARVs kwa kodi za Wamarekani. Wamarekani waache kulalamikia hilo waje kulalamika kuhusu ndege zao wenyewe?

Kuna ndege za jeshi la Tanzania nazo tangu zinunuliwe hazijafanya kazi, wewe Mtanzania umelalamika?
 
Unamzungumzia NASA aliyeshindwa kumrudisha duniani mwana-anga wake hadi wakaomba msaada RUSSIA?




Cha ajabu nini sasa? Mbona shirika la ndege la Urusi limejaa ndege za Marekani.
Kwanza ISS inaendeshwa kwa ushirikiano wa USA na Russia, kama Warusi hawataki waache hakuna anayewalazimisha. Kina Jeff Bezos wanajitengenezea vifaa vyao kwenda nje kama hobby sembuse wapewe tenda na NASA.

Russia iliiuza Alaska kwa Marekani. Huo upumbavu hata Somalia haiwezi fanya, eti nchi serious na akili zake inauza kipande cha ardhi yake😂.
Tanzania yenyewe kukodisha bandari kwa wawekezaji watu wanapiga kelele, ila Urusi ikauza kabisa ardhi kubwa.
 
Safi mkuu umeua sana. I think Putin yupo vizuri kwenye missile's than fighterjets

Sent using Jamii Forums mobile app
The true successful jet fighter ya Russia ni Mikoyan Gurevich Mig-21. Hiyo ilikuwa ni ndege nzuri sana kwa wakati wake na ilikuwa mass produced na ikauzwa sana duniani. Ndege nyingine ya Urusi inayofuatia kwa mafanikio ni Sukhoi Su-27 original. Hiyo imekaa sana na wanaifanyia modernization na kuipa upgrades. Hata mauzo yake ni mazuri.

Kwenye missiles na rockets ndio Russia wana concentration na kwenye artillery ndio doctrine yao inawataka wakomalie zaidi. Wanazo nyingi sababu hawapendelei precision bali firepower. Wakati Marekani inaweza nunua BONUS shell, au ikaleka rocket assisted au GPS guided ikatumia shells tatu za gharama ambazo ni very precise kwenye tukio, Urusi inatumia shells hata 20 kwenye tukio lile lile walau tatu ya hizo zitabahatisha. Hii inasababisha Russia aonekane na zana nyingi za hivyo.

Hata kwenye air defense systems Russia ina tabia ya kurusha salvo, yani makombora mawili au matatu kwenye ndege moja. Marekani inarusha kombora moja kwa kila ndege. Kila mmoja anajua kwanini anafanya hivyo.
 
F-35 ni multirole wala sio air superiority fighter, haijatengenezwa ifanye dogfighting wala iwe air dominance moja kwa moja. Hizo kazi mbili ni za F-22 Raptor na zitafanywa na Next Generation Air Dominance (NGAD) fighter iko kwenye development na itakuja kustaafisha F-22.

F-35 ni ndege ya kufanya kazi chache kwa akili sana na nguvu kidogo ndio maana ina datalink nzuri, sensors za kipekee, radar nzuri na survivability in enemy's airspace kubwa. Mambo ya dogfighting yana ndege zake kibao kwenye jeshi la Marekani. F-16 ina engine moja inaweza kiasi chake, kuna F-22, F-18 zitakazostaafu na F-15.

Haihitaji sana g force nzuri maana huendi kubinuka nayo kiholela. Kwanza haina speed kubwa na range kubwa. Marubani wa Marekani wameendesha SR-71 Blackbird na ugumu wake sembuse F-35. Wameendesha Fairchild Republic Wameendesha F-114 Nighthawk, hata U-2 ina ugumu wake wa kipekee.

Alafu F-35 zinapata ajari sababu ni nyingi, zaidi ya 800. Sasa unalinganisha na stealth ya nani ambayo ina namba hizo, Mchina na J-20 yake ana units kama 200 anakadiriwa. Mrusi hata 20 units za Su-57 hana.
Good analysis
 
Cha ajabu nini sasa? Mbona shirika la ndege la Urusi limejaa ndege za Marekani.
Kwanza ISS inaendeshwa kwa ushirikiano wa USA na Russia, kama Warusi hawataki waache hakuna anayewalazimisha. Kina Jeff Bezos wanajitengenezea vifaa vyao kwenda nje kama hobby sembuse wapewe tenda na NASA.

Russia iliiuza Alaska kwa Marekani. Huo upumbavu hata Somalia haiwezi fanya, eti nchi serious na akili zake inauza kipande cha ardhi yake😂.
Tanzania yenyewe kukodisha bandari kwa wawekezaji watu wanapiga kelele, ila Urusi ikauza kabisa ardhi kubwa.
Unaposema HAKUNA ATAKAYEWALAZIMISHA we ni nani?
USA ANAWAOIGIA MAGOTI we wa kwamparange unajiropokea.
Licha ya vikwazo bado USA is very submissive to RUSSIA wjen it comes to space exploration
 
Unaposema HAKUNA ATAKAYEWALAZIMISHA we ni nani?
USA ANAWAOIGIA MAGOTI we wa kwamparange unajiropokea.
Licha ya vikwazo bado USA is very submissive to RUSSIA wjen it comes to space exploration
Marekani haiwezi pigia magoti nchi maskini ambayo iliiuzia ardhi kubwa. Alaska ingekuwa ni nchi ingekuwa ni ya 18 kwa ukubwa duniani, inakaribiana na Iran kwa ukubwa sasa Urusi ikauza kwa Marekani. Sasa unategemea Marekani itishwe na njaa kali wa hivyo?

ISS inaendeshwa kwa ushirikiano, kuna vitu Marekani inafanya na kuna vitu Urusi inafanya. Hakuna kitu kinafanywa na wote wawili, Soyuz ni rocket kawaida ya kubeba kilo 250, wakati SpaceX pekee mwaka jana imerusha rockets zaidi ya 60, Marekani imerusha rockets nyingi na China imefuatia wingi. Njaa kali wako hao hata nusu ya wengine hawajafika.
Siku ISS inafungwa Urusi itapuyanga sidhani kama ina ubavu wa kufungua space station peke yake, China au Marekani wanaweza, Japan nao wako vizuri.
 
Marekani haiwezi pigia magoti nchi maskini ambayo iliiuzia ardhi kubwa. Alaska ingekuwa ni nchi ingekuwa ni ya 18 kwa ukubwa duniani, inakaribiana na Iran kwa ukubwa sasa Urusi ikauza kwa Marekani. Sasa unategemea Marekani itishwe na njaa kali wa hivyo?

ISS inaendeshwa kwa ushirikiano, kuna vitu Marekani inafanya na kuna vitu Urusi inafanya. Hakuna kitu kinafanywa na wote wawili, Soyuz ni rocket kawaida ya kubeba kilo 250, wakati SpaceX pekee mwaka jana imerusha rockets zaidi ya 60, Marekani imerusha rockets nyingi na China imefuatia wingi. Njaa kali wako hao hata nusu ya wengine hawajafika.
Siku ISS inafungwa Urusi itapuyanga sidhani kama ina ubavu wa kufungua space station peke yake, China au Marekani wanaweza, Japan nao wako vizuri.
We ni chizi hata uraia wa US huna ila unajitoa akili.🤣🤣🤣
Kama alishindwa kumrudisha mwana anga wake na akaomba msaada Russia we bado unabishana😆😆😆
 
Kumbe ulitaka ushahidi, umeyakanyaga nilikwambia. Sekunde ya tatu unaona kuna interceptor nayo ni MANPADS imemiss imetokea nyuma, hii inayofyatuliwa sasa ndio inahit.

Huna akili yaani chanzo ni Ukreine twitter?
 
The true successful jet fighter ya Russia ni Mikoyan Gurevich Mig-21. Hiyo ilikuwa ni ndege nzuri sana kwa wakati wake na ilikuwa mass produced na ikauzwa sana duniani. Ndege nyingine ya Urusi inayofuatia kwa mafanikio ni Sukhoi Su-27 original. Hiyo imekaa sana na wanaifanyia modernization na kuipa upgrades. Hata mauzo yake ni mazuri.

Kwenye missiles na rockets ndio Russia wana concentration na kwenye artillery ndio doctrine yao inawataka wakomalie zaidi. Wanazo nyingi sababu hawapendelei precision bali firepower. Wakati Marekani inaweza nunua BONUS shell, au ikaleka rocket assisted au GPS guided ikatumia shells tatu za gharama ambazo ni very precise kwenye tukio, Urusi inatumia shells hata 20 kwenye tukio lile lile walau tatu ya hizo zitabahatisha. Hii inasababisha Russia aonekane na zana nyingi za hivyo.

Hata kwenye air defense systems Russia ina tabia ya kurusha salvo, yani makombora mawili au matatu kwenye ndege moja. Marekani inarusha kombora moja kwa kila ndege. Kila mmoja anajua kwanini anafanya hivyo.
Kwa maelekezo haya mimi sikupingi hao jamaa wao katika firepower ndo tabia yao.
 
We ni chizi hata uraia wa US huna ila unajitoa akili.🤣🤣🤣
Kama alishindwa kumrudisha mwana anga wake na akaomba msaada Russia we bado unabishana😆😆😆
Kwa sababu ya njaa zao walikubali, wakalipwa hela. Wasingekuwa na njaa wangemuacha kule, kama hujui ISS inaendeshwaje uliza.

Urusi iliuza ardhi ya nchi inakaribiana na Iran. Tena mbaya zaidi akaiuzia Marekani, uliwahi sikia nchi nyingine inauza ardhi yake tena kubwa?
Yani Tanzania ilipigania Kagera salient kaeneo hakafikii hata ukubwa wa tarafa moja ila Urusi ikauza eneo lingekuwa nchi ya 18 kwa ukubwa duniani. Njaa mbaya sana😂
 
F-35 ni multirole wala sio air superiority fighter, haijatengenezwa ifanye dogfighting wala iwe air dominance moja kwa moja. Hizo kazi mbili ni za F-22 Raptor na zitafanywa na Next Generation Air Dominance (NGAD) fighter iko kwenye development na itakuja kustaafisha F-22.

F-35 ni ndege ya kufanya kazi chache kwa akili sana na nguvu kidogo ndio maana ina datalink nzuri, sensors za kipekee, radar nzuri na survivability in enemy's airspace kubwa. Mambo ya dogfighting yana ndege zake kibao kwenye jeshi la Marekani. F-16 ina engine moja inaweza kiasi chake, kuna F-22, F-18 zitakazostaafu na F-15.

Haihitaji sana g force nzuri maana huendi kubinuka nayo kiholela. Kwanza haina speed kubwa na range kubwa. Marubani wa Marekani wameendesha SR-71 Blackbird na ugumu wake sembuse F-35. Wameendesha Fairchild Republic Wameendesha F-114 Nighthawk, hata U-2 ina ugumu wake wa kipekee.

Alafu F-35 zinapata ajari sababu ni nyingi, zaidi ya 800. Sasa unalinganisha na stealth ya nani ambayo ina namba hizo, Mchina na J-20 yake ana units kama 200 anakadiriwa. Mrusi hata 20 units za Su-57 hana.
Ila we jamaaa kwenye madeni ya kijeshi upo njema. Japo wakati mwingine una mahaba lakini respect kwako mzee.
 
Back
Top Bottom