Wale wanangu wa Tegeta high school ni Pm nikutumie mahela ila nini nataka nifanye party jangwani sea breeze wale wote wa Tegeta high school na majobless tukutane jangwani sea breeze pale kawe,Tegeta high school 🔥
Hivi inakuaje TV ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?
Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi...
Nitapeleka ombi makao makuu ya katoliki duniani Vatican ili pope benedict xvi azikwe Tanzania mkoani wa shinyanga wilaya ya kishapu kijiji cha maganzo kwani shinyanga ni mmoja wa mkoa wa Tanzania wenye waumini wengi wa dhehebu la katoliki na ukizingatia Rafik yake mkubwa Kardinal rugambwa...
Hivi ccm inaweza kutoka madarakani? na kama ikitoka ni lini? Nakili kusema ccm kuitoa kupitia Sanduku la maoni tusahau na tusifikiri hata kidogo yaani sio leo wala kesho kwa ccm hii kutoka madarakani.
Kwanza itatokaje? Na kivipi yaani? Kama Rais pia ni mwenekiti wa Chama hapo kuna kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.