Recent content by Gabriel123

  1. G

    Suala la binti aliyefanyiwa ukatili wa kulawitiwa, tunahitaji kauli ya Rais ili Polisi watende haki na Mahakama ifanyekazi yake

    Tz sioni kama Kuna uhuru wa sheria na Raia wake ...sijui Ln hawa naojiita wenye nchi watajitambua ...Haki itatoka wap wakati maovu tunafichia sizana kama kweli wahusika wote watakula fyekeo la shingo...Sioni Haki kwa mtanzania wa chini
  2. G

    Natafuta day work yeyote kwenda na kurudi napatikana ukonga (DSM)

    Habari zenu ndugu zangu wanajamii Forums Natafuta day work yeyote kwenda na kurudi napatikana ukonga (DSM) Accademic qualifications Diploma in accounting and finance Computer applications Basic Diving Simu :0764877912
  3. G

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Status: self employee Position: Driver Experience: 5 years Profesional: Accounting and finance Location: Moshi
  4. G

    Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

    Ngoja wataalamu waje ila kumbuka kila kona ya fursa Kuna competition
  5. G

    Natafuta kazi napatikana Moshi Mjini

    HABARI YENU WAKUU, Natafuta kazi yeyote halali ya kwenda na kurud mwenye connection please napatikana Moshi mji. PIA NINA TAALUMA Diploma accounting &finance, b)driving Class D 3 years experienceauto & manual (certificate+licences) c)customers care 2years pamoja na matumizi computer exel na...
  6. G

    Natafuta kazi hata kibarua

    Samahani mkuu kipo pande zipi
  7. G

    Natafuta kazi/ internship/kibarua chochote taaluma yangu accounting and finace+driving

    Dear sir/madam Natafuta naishi dar es salaam gongo la mboto natafuta kazi yeyote au kibarua cha kuendesha maisha a) Nina umri miaka 24 b) Sijaoa c) Taaluma yangu accounting & finance uzoefu wangu custormer cara na sales kwa miaka 3 pia nina uzoefu wa driving miaka 4 d) Nina uwezo wa...
  8. G

    Natafuta kazi hata kibarua

    Habari Madam/sir Natafuta kazi hata kibarua cha kuendesha maisha yangu. #Ninaweza kufanya kazi yeyote tofauti na taaluma nilizonazo a) ninaumri wa miaka 24 b)Naishi gongo la mboto DSM c) taaluma yangu stashahada accounting&finance nina uzoefu wa customer care , sales 3yeaes d) nina...
Back
Top Bottom