Mie leo nimelog in kwenye cas ya tcu nimekuta pale kweny min requirement wameniandikia yes lile neno la cheking in progress limetoka,naomben mniereweshe kwanz {min} ndo inamaanisha nin?
Ya mpango nzima huyo jamaa atakua na 17 wenye sita 6 hawajigambi so hyo kilaza koz mi najua mwenye kujua huwa hajigambi mbele ya watu kumbuka maisha nzunguko hayo maneno hutayameza.
Jaman mi napata wakat mgumu wa kutumia haina ya pen kujaza phome za mikopo pamoja picha zangu za muombaj zinapigwa muhur wa s/mtaa au hazipigwi,pia swala la TCU una aply vip vyuo msaada wenu
Jaman Nyasiro yan 2po wengi cha msing sikilizia 24 hour ndo hujarb au subir kesho mda wa kaz ndo huwapigie help center au kama ikishindikana kama upo dar timba ofic zao oposite na tirdo kama waenda msasani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.