Habari mkuu, najua nimechelewa kujibu hii na nimepitia thread yako na kuzisoma vizuri.
Mimi ni mfanyabiashara mdogo yaani kwa kifupi ndio nataka nianze na mtajiwa mil 1. Naitaji Laptops with regular basis price. Yaani kama nikipata a piece for laki 2 nianze na hzo 5. Ushairi wa wapi ziko bei ya...
Habari wanajamvi!
Mimi ni mkazi wa moshi mjini, nataka kianzisha biashara ya kuuza laptops & desktop for both new ones and refurbished ones.
Kutokana na ufinyu wa knowledge on how and where to get for cheap prices as whole sale (for starter lets say 20 pieces); ukizingatia the demand is high...
Habari zenu wanaJF.
Kwaufupi kuna ndugu yangu amebahatika kupokea barua ya offer of employment kutoka kampuni XXX inayomilikiwa na kikundi cha watu (Private) na ka-report as instructed. Ila yapita wiki 3 na nusu sasa hajapata jibu lolote zaidi ya "tutakupigia tukiwa tayari."
What does this...
Wana jamvi kuna yeyote ambaye kapata mrejesho wa application ya WFP post za Assistant IT Operation officer.
Deadline ilikua tarehe 20 na hivi.. Mwezi wa 12 mwaka jana.
Asanteni.
Habari wandugu,
Mm nimeitwa kwenye aptitude test BOT katika post ya Business analysts. Naomba wale wenye uzoefu na hizi test wanipe angalizo zinakuaje ili niweze kujiandaa kikamilifu. Asanteni Mungu awabariki[emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.