Recent content by G.S.S

  1. G

    HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    [QUOTE=Issa O ONGERA UMEPATA MKOPO NA CHUO NI UDOM
  2. G

    HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    abdala ashim abdala.ongera mkopo umepata na chuo ni UDOM COED
  3. G

    HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    Mzee wa kismat,ongera umepata mkopo chuo ni sua
  4. G

    HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    [QUOTE=mzee wa kismati; ONGERA MKOPO UMEPATANCHUO NI SUA
  5. G

    HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    Mariam mabina mbona jina lako silion kwenye orodha ya waliopata mkopo
  6. G

    Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa kutoshiriki mdahalo wa Oktoba 18, 2015

    Hata kabla sijafungua uzi huu nilitegemea mtoa post kugusia suala la afya na na uwezo wa kusimama wa mtu lkn pia nilijua anagusia kumbukumbu ya mtu.bila shaka haya ndiyo yatakayoenda kufanyika hata ktk mdahalo na si kujadili au kuwapima wagombea.namsihi powada bora usiendewahache wskyseme lkn...
  7. G

    Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa kutoshiriki mdahalo wa Oktoba 18, 2015

    Kwanza nampa ongera mzee wa hekima na busara kwa kukataa kushiriki huo mdaharo kwa sababu zifuatazo;.1 mlengowa huo mdahalo ni kutaka kumuaibisha km walivyozoea kumuaibisha kwenye kampen zao.2hawana jipya ktk huo mdahalo isipokuwa agenda yao ccm kujadili mstakabal wa nchi bali ni kutska kuona na...
  8. G

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Kwa taarifa nilizopata sahivi ni kuwa filikunjombe na baba yake jerry silaa ambaye ni william wamefariki
  9. G

    GE2015 Mulongo anasurika kipigo, kisa Lowassa

    Kinachoongelewa ni kweli wewe usiyeamini, ilikuwa hivi mkuu wa mkoa mwanza bwana magesa alikutana na watumishi wa kwimba ktk shule ya sekondari NGUDU na kuanza kuwasimamisha kila idara na kuwachana na ushabiki wakisiasa hasa walimu kuwafundisha watoto siasa, mbaya zaidi hakutaka kuongelea suala...
  10. G

    NEC tusaidieni kujibu hoja za wananchi

    Suala hapa si kuwaamini mawakala,tatizo ni kuwa mawakala wanatishiwa na kukazimishwa kugeuza matokeo.pili kutokuwepo watu umbali wa mita mia moja kutapelekea watu kuja na kura bandia au kujitokeza watu wasio wamitaa hiyo kuja kupiga kura,ndio maana watu wakaambiwa kukaa mita 100 hili endapo...
  11. G

    Lowassa kuwaombea kura CCM, hivi ni kusahau makusudi ama bahati mbaya?

    Wakati fulani tutumie maarifa kuliko nguvu,pia rudini shule mkajifunze kiswahili na aina za sentensi msikuluouke.lowasa kasematupeni kula za wabunge wa ccm. Nafikiri neno "tupeni" neno tupeni ndio limempa utata mtoa post. Kwa maana nyingine ni hivi sisi ukawa tuna omba mtupe kura za wabunge wa...
  12. G

    TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    mbona mimi niko sahivi mtandaon na TCU imefunguka.Nimemjazia dogo langu Bacherol of pharmacy muhimbili na capacity imeandika 8 hapo inakuwa vp wakuu.
  13. G

    Regina Lowassa na ukabila kwenye kampeni

    Talalila wewe mleta mada! Ilo la mama tegina ndo umeliona na kukukuna kichwa eti? Mbona kwa sisi tulio mwanza na wengine wanashuhudia magufuli anaongea kisukuma majukwaani km ishara ya kuomba kura kws wasukuma wenzake hilo hamlion? Km ni ukabila tangu lini ukaomba kura kwa kiruga. Ila tu lowasa...
  14. G

    Mbatia ana macho lakini haoni ana masikio lakini hasikii, Maskini NCCR inakufa

    [QUOTE=flagysyrup; NIWE WA KWANZA KUKUAMBIS MBATIA TAYAR AMEKWISHA PITA TAYARI NA YEYE NDIO MFANO WA VIONGOZI WA KUIGWA ANAYEPIGANIA HATMA YA WATANZANIA WENGI WABAOISHI KTK LINDI LA UMASKINI NA UJINGA NDIO MAANAAKAAMUA KUSUKUMA GURUDUMUVLA MABADILIKO NIKUOMBE NAWE BADILIKA HACHA KULETA USHABIKI...
  15. G

    GE2015 Lowassa: Viwanda bila elimu ni sawa na kazi bure

    [QUOTE=Kolobaa; WEWE USIE AMINI KM ELIMU BURE INAWEZEKANA NENDA UKAJIZIKE HUNA JIPYA KILA KITU WEWE UNAKATAA KUFA BASI! MIMI NASEMA ELIMU BURE TANZANIA INAWEZEKANA TENA KWA 90%
Back
Top Bottom