alfanii majengo
Member
- Sep 28, 2015
- 9
- 0
Sana anifah
Katika hali isiyokua ya kawaida Juzi mkuu wa mkoa wa mwanza MAGESA MULONGO alifanya kikao na wakuu wa mashule wote wa jiji na ilemela cha kushangaza hakuna ajenda ata moja iliyokua ina maslahi na walimu zaidi iliwalazimisha walimu kuibeba CCM na kuhakikisha Magufuri anashinda...Kesho jumamosi tarehe 17/10/2015 Magufuri atakua Mwanza CCM KIRUMBA lakini leo wakuu wa mashule wamewatangazia wanafunzi kua waende CCM KIRUMBA kuwaona wakina DIAMOND bure na kuwaambia wale wakidato cha nne ,tano na sita kumpigia Magufuri kura...Ajabu alivyokuja LOWASSA hatukuona wakiwatangazia wanafunzi kwenda kwenye mkutano wa Lowassa...TUME ya Uchaguzi lazima ichukue hatua kali sana dhidi ya RC na wakuu wama shule wa MWANZA
Tume ipi!?, Ya huyu babu mwenye mishipa kichwani kama tumbo la nyangumi?
Katika hali isiyokua ya kawaida Juzi mkuu wa mkoa wa mwanza MAGESA MULONGO alifanya kikao na wakuu wa mashule wote wa jiji na ilemela cha kushangaza hakuna ajenda ata moja iliyokua ina maslahi na walimu zaidi iliwalazimisha walimu kuibeba CCM na kuhakikisha Magufuri anashinda...Kesho jumamosi tarehe 17/10/2015 Magufuri atakua Mwanza CCM KIRUMBA lakini leo wakuu wa mashule wamewatangazia wanafunzi kua waende CCM KIRUMBA kuwaona wakina DIAMOND bure na kuwaambia wale wakidato cha nne ,tano na sita kumpigia Magufuri kura...Ajabu alivyokuja LOWASSA hatukuona wakiwatangazia wanafunzi kwenda kwenye mkutano wa Lowassa...TUME ya Uchaguzi lazima ichukue hatua kali sana dhidi ya RC na wakuu wama shule wa MWANZA
wambieni wawalete na wafungwa
Wewe mwenyewe umeshasema hao ni walimu. Sasa kwa akili yako unatarajia vipi walimu wenye maadili wahamasishe wanafunzi wao waende kuyasikiliza matuhumiwa ya ufisadi? Hivi unajua kwamba ualimu ni kazi namba moja yenye maadili yasiyotetereka? Sasa wanafunzi wakishawasikiliza watuhumiwa wa ufisadi wakawalisha sumu wewe unadhani wakirudi shuleni kutakuwa na darasa hapo? Fikiri
Mkuu wa mkoa wa mwanza magesa mulongo alijikuta katka hali ngumu katika kikao na watumishi wa halmashauri ya kwimba na walimu wa shule za msingi
Vurugu zilianza pale alipoanza kumnanga mgombea wa chadema na ukawa Edward lowasa
Ilidaiwa baada watumishi hao kujua hakuna agenda bali kumpigia kampeni magufuli kelele zilianza mpaka kupelekea kikao hicho kuvunjika
Baada ya hali hiyo ilisemekana mulongo aliita police na walimkamata mtumishi mmoja ambae alilala rumande