Ebwana umenikumbusha battle ya freestyle pale Diamond Jubilee Alichofanya Ngwair kila mtu alidhani uchawi...huyu jamaa alikuwa na kichwa cha kipekee asee
RIP mfalme wa mitindo huru
Salaam wana JF! Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha, nasoma shahada ya uhasibu mwaka wa pili, natafuta sehemu ya kufanyia field! Nimekwisha peleka barua sehemu zaidi ya sita lakini kote majibu yanakuwa ndivyo sivyo! Naombeni msaada wenu kwa yeyote anayeweza kunisaidia...NTASHUKURU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.