Hii sasa ni kero, unapanga foleni ya gari kwa masaa manne kigamboni. Nipo hapa leo kuanzia saa nne asubuh mpaka sasa nimesogea umbali wa mita 800 tu.
Kivuko kidogo pekee ndo kinafanya kazi, kubwa limepumzishwa. Na hicho kivuko kidogo hakirudi magogoni mpaka kijaze. Tunakazi ya kuona wanajeshi...
Yeah yataka moyo. TRH anazo international nyingi ila ndo wamejikita mizizi miaka mingi wale wahindi enzi hizo Biashara ilikua rahisi siku hizi Biashara hiyo imeingia mkono labda uwe na pesa za Escrow
Ndo kama nilivyosema mkuu, hao watendaji wanaweza wakawa wa level fulani. Kwa sababu piga picha kama anatumia anuani ya barua pepe yenye domain ya serikali ambayo iko exposed sasa kwa umma. Huweza ikawa ni rahisi kwa hackers kufanya mashambulizi ya server hizo ambazo zenye confidential information
Mkuu habari
Hizo trucks ni mpya bana. Hizo Volvo FH 2014, Volvo FMx all hizo ni latest series from volvo latest technology. Pia anazo Volvo FH na FM ya former series brand new. Mercedes Benz Actros alizokua nazo ni brand new but of former edition in the series. Scania anazo brand new both...
Habari
Mimi naamini hii anuani ya barua pepe inayotolewa katika kuwasiliana na raisi si ya kwake ila ni "Decoy Mail" ambayo inatumiwa na watumishi wa karibu au washauri wa serikali ama raisi.
Anuani ya barua pepe ya raisi lazima itakua "very highly confidential and strictly to selected high...
Hello picchu, si lazima uzime O/D ukiwa kwenye matope au michanga. Just shift ur lever to L au 2 hapo u will limit ur gears to low au first gear au second gear kama ni 2.
Muda mwingine unaweza kuona very steep hill and tires are slipping u cn limit ur gears to L or 2 to make it crawl depend on...
Overdrive is the final gear of that gearbox. Simply when u see that O/D OFF it means your maximum speed it below the final drive. For instance if your car is 5speed gearbox automatic transmission, it means when the O/D OFF light is on then you will drive up to 4th gear. The theory is true if...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.