Kivuko Magogoni ni kero

Kivuko Magogoni ni kero

G-Mania

Member
Joined
Feb 11, 2014
Posts
14
Reaction score
6
Hii sasa ni kero, unapanga foleni ya gari kwa masaa manne kigamboni. Nipo hapa leo kuanzia saa nne asubuh mpaka sasa nimesogea umbali wa mita 800 tu.

Kivuko kidogo pekee ndo kinafanya kazi, kubwa limepumzishwa. Na hicho kivuko kidogo hakirudi magogoni mpaka kijaze. Tunakazi ya kuona wanajeshi tu wanapita utasema kuna vita wanakimbilia au Emergency. Anakuja mdogo wake naye anapita, mjuu wake naye anapita wote hawapangi foleni.
 
Pole kaka, kuwa mvumilivu daraja lipo mbioni kuisha, yote hayo yatakuwa historian.
 
Yani ndo tumeingia sasa hivi tunapangwa pangwa kama wachezaji mpira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom