CHINA ILIMBANA DAKTARI ALIYESAMBAZA UJUMBE JUU YA UGONJWA HUU,,, ILI WENZIE WACHUKUE TAHADHARI,,,na Polisi ya China wakampiga Onyo asirudie tabia hiyo ya KUZUA TAHARUKI. Bahati Mbaya ALIFARIKI.... Ila kwasasa Dunia inakiona "ChaMOTO."
IFIKE wakati tujifunze kwa makosa ya WENZETU na USTAARABU...
UMEANDIKA KWA TENSION SANA
Hivi ulitaka WHO amtambue TAIWAN as a NATION huku TAIWAN sio member wa UN (Recognized)
Pili usiji Trumplize mpaka ukajisahau Ufuasi usikusahaulishe kua Wingi wa kura zilimwangukia mpinzani wa Trump
Yani chombo kinachoangalia popularity na kuripoti obvious kingeakisi...
HAPO nilikwama kwenye basi ...nilifanya mawasiliano SUMATRA kuomba waruhusu Mabasi kubadilishana Abiria (kufaulisha)
yanayotokea Moro/Dar yachukue abiria waliotoka Mwanza/Dodoma..na kugeuka... Hawakuzingatia ushauri huu. Japo kuna njia watembea kwa muguu wanavuka. Mabasi mengi walitafutia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.