Nilikuwa narafiki, lake jina Chumu.
Hakuwa mnafiki, ni mtu wakukirimu.
Sahibu hawabanduki, shida zao kujikimu.
Kwenye buku la rafiki unaweza kukopia
Zilipompata dhiki, nduki kubwa wanadamu.
Kuielekea haki, mjomba alo muhimu.
Ikaanza taharuki, hawakumtilia tena timu.
Kwenye buku la rafiki...