Hakuna timu yenye fixture nyepesi kwenye hao top 3…awe city,livarpool wala arseanal wote fixture imebana..atakaechanga karata zake vema annyanyua kwapa
Mabango mawili tu povu na chuki kiasi hiki,yangewekwa nchi nzima kama walivokusudia sungeua fans wa yanga unaopishana nao mtaani?..manake macgapisho yako yote humu huyan hoja ya devaluate yanga kwenye hiyo orodha zaidi yachuki zako binafsi kwa timu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.