Recent content by FUSO

  1. F

    JamiiForums Tanzania Maandamano yakiitishwa siku ya Ufunguzi wa AFCON mtafanyaje, tatueni kero kabla ya aibu

    Gen - Z kweli hamna adabu, yaani kisa nini kutukalisha sisi baba zenu mama zenu majumbani ? kweli nyie watoto? Watoto wa afu mbili mnatutesa ivi? Hebu acheni basi hii tabia jamani.....hivi mimi wa kula Pilau na kushushia Sprite kweli ? Mimi wa kuangalia marudio ya Kombolela ? Aaah jamani...
  2. F

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: ACT- Wazalendo kusaini Maridhiano na CCM kesho Julai 9

    Alivyofariki tu Maalim nikajua Zanzibar rasmi ni koloni la CCM.
  3. F

    JamiiForums Tanzania Kwa Katiba ya CHADEMA, John Heche hahusiki na Hela za Chama, Wahusika ni Ofisi ya Katibu Mkuu na Baraza la Wadhamini

    Kipindi cha Mbowe walisema CDM ni Sako yake, Oohh CDM ya wachaga - leo ati Heche anaiba hela zachama hawa hawana jipya wamebanwa kila kona kudadeq - Msako ni kila kona Je Mtatoaaaaa hamtoiiiii ......
  4. F

    JamiiForums Tanzania Hilda Newton: Nitaweka wazi majina ya wajumbe wa Kamati Kuu CHADEMA waliopewa pesa kulazimisha Maridhiano na kumshambulia Heche

    CDM hawaiwezi tena - kama Jiwe mwenyewe aliishindwa akasepa bila kuaga itakuwa huyu dula.
  5. F

    JamiiForums Tanzania Alphonce Muyinga: Wachochezi lengo lao na dhamira yao sio kuwasaidia Watanzania bali ni kuwaumiza watanzania

    Aisee watanganyika ni kweli huyu maza hawamtaki... Urais wa namna hii afadhali nile nguna na dagaa za chukuchuku - laaah
  6. F

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuna tatizo kama ni kweli

    Hela ya Abdul ipo kazini - nategemea this week tupate vi clip vingi vya kusema Heche anakula hela ya chama, ni LAZIMA kina Abudul wafanye hivyo maana hawana namna nyingine tena. Wanajaribu pia kuwanunua wajumbe wa Kamati Kuu - wacha tuone kama wataweza kupata hata robo ili waitikise CDM. Hela...
  7. F

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Utaahira si lazima mpaka ulazwe milembe !! Unaweza kuwa taahira bila ww kujijua, ni hatari na ni aibu kubwa.
  8. F

    JamiiForums Tanzania CHADEMA iunganishe watanzania wote bila kujali itikadi, Mateso ya Wakulima, wafanyakazi na Wafanyabiashara wote ata wa CCM ni ajenda yenye nguvu sana

    Chama cha siasa kilichopo ni CDM na uzuri 80% ya watanzania wanakipenda... CCM ni maiti inayotembea. Nuru inakuja watanzania Mungu tayari kashasikia kilio chetu - damu zilimwagika bila hatia zinafanya kazi.... Majibu yashaanza tayari.... vilio na miguno vishaanza kwa hao mafirauni.
  9. F

    JamiiForums Tanzania Mimi Napenda mno kusoma

    Kama unasoma na ujuzi ama weredi unaoupata katika majarida unakusaidia kutoboa kimaisha safi endelea lakini kama ni tofauti basi huna tofauti yoyote na sisi ambao lazima tupitie bar kuchangamsha ubongo kila siku jioni huku tukipata mziki kwa mbaliii
  10. F

    JamiiForums Tanzania Chande sasa unaweza ukajifia maana huna la maana duniani. You are a spent force!

    Zee zima linajiaibisha kiasi hiki - aisee!!
  11. F

    JamiiForums Tanzania BAADA YA RIPOTI YA CHANDE, UPO UWEZEKANO WA CHADEMA KUFUTWA.

    Tume feki Report feki Maanuzi feki. Watanganyika wanataka Taifa lao, kuifuta CDM si suruhu ya Watanganyika kusahau kudai haki zao. Naona wanahangaika sana kama mtetea na yai la kwanza.
  12. F

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Ole Sabaya tumshamsamehe kabisa watu wa Hai. Maisha lazima yaendelee

    Huyu Dingi alifikiri CDM ni mali yake, kapigwa live - eti kasusa. Mambo ya like sana.
  13. F

    JamiiForums Tanzania Kaburi la halaiki lilishaonyeshwa na Kuthibitishwa na CNN kwa picha za Satelite, hatuna haja na porojo za Chande

    Hili Zee hili limejidhalilisha, heshima yote ishakwisha. Lishaingia kwenye kundi la mizee ya HOVYO. Lishapoteza credibility, yaani kwa sasa ni Zigo aka Liability aka fuko la kinyesi posta mpya.
Back
Top Bottom