Recent content by FUSO

  1. F

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Utaahira si lazima mpaka ulazwe milembe !! Unaweza kuwa taahira bila ww kujijua, ni hatari na ni aibu kubwa.
  2. F

    JamiiForums Tanzania CHADEMA iunganishe watanzania wote bila kujali itikadi, Mateso ya Wakulima, wafanyakazi na Wafanyabiashara wote ata wa CCM ni ajenda yenye nguvu sana

    Chama cha siasa kilichopo ni CDM na uzuri 80% ya watanzania wanakipenda... CCM ni maiti inayotembea. Nuru inakuja watanzania Mungu tayari kashasikia kilio chetu - damu zilimwagika bila hatia zinafanya kazi.... Majibu yashaanza tayari.... vilio na miguno vishaanza kwa hao mafirauni.
  3. F

    JamiiForums Tanzania Mimi Napenda mno kusoma

    Kama unasoma na ujuzi ama weredi unaoupata katika majarida unakusaidia kutoboa kimaisha safi endelea lakini kama ni tofauti basi huna tofauti yoyote na sisi ambao lazima tupitie bar kuchangamsha ubongo kila siku jioni huku tukipata mziki kwa mbaliii
  4. F

    JamiiForums Tanzania Chande sasa unaweza ukajifia maana huna la maana duniani. You are a spent force!

    Zee zima linajiaibisha kiasi hiki - aisee!!
  5. F

    JamiiForums Tanzania BAADA YA RIPOTI YA CHANDE, UPO UWEZEKANO WA CHADEMA KUFUTWA.

    Tume feki Report feki Maanuzi feki. Watanganyika wanataka Taifa lao, kuifuta CDM si suruhu ya Watanganyika kusahau kudai haki zao. Naona wanahangaika sana kama mtetea na yai la kwanza.
  6. F

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Ole Sabaya tumshamsamehe kabisa watu wa Hai. Maisha lazima yaendelee

    Huyu Dingi alifikiri CDM ni mali yake, kapigwa live - eti kasusa. Mambo ya like sana.
  7. F

    JamiiForums Tanzania Kaburi la halaiki lilishaonyeshwa na Kuthibitishwa na CNN kwa picha za Satelite, hatuna haja na porojo za Chande

    Hili Zee hili limejidhalilisha, heshima yote ishakwisha. Lishaingia kwenye kundi la mizee ya HOVYO. Lishapoteza credibility, yaani kwa sasa ni Zigo aka Liability aka fuko la kinyesi posta mpya.
  8. F

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nyalandu: Serikali ilienda kulinda watu, tuna ushahidi waandamanaji walikuwa na bunduki na mabomu

    Nchi hii ma bwabwa ni mengi, pamoja na hili njemba.
  9. F

    JamiiForums Tanzania Naongea kwa sauti ya chini chini wasisikie watu

    Yote tisa kumi ni sh ngapi imetumia hiyo tume ya kujaribu kumtawaza kinyesi huyo bibi kizee?
  10. F

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume imetambua vifo 518 wakati wa maandamano ya Mo29. Wamekiri, watatokaje?

    Tume ya kujaribu kuficha ukweli
  11. F

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tutagharamia matibabu ya majeruhi ya Oktoba 29. Wafanyabiashara tutaangalia namna 'tutawafariji'

    Kuna watu walifukiwa wakiwa hawajafa, vip na hao je? Ndugu zao wategemee miili watapewa ili waizike?
  12. F

    JamiiForums Tanzania Natamani kusikia CHADEMA imefutwa nchini

    Ataanza kufutika mamako, kenge maji. Muulize Magu alijiapiza nn na nn kimetokea.
  13. F

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Kuna kijana Usariver alipewa shilingi 50,000 na kuahidiwa Tsh. Milioni 5 ili ashiriki (maandamano)

    Jaji mzima kutumika kama takataka ni hatari kubwa.
Back
Top Bottom