Recent content by FUSO

  1. F

    Rais Samia: Tumempoteza Lukuvi, tulimhitaji zaidi leo kuliko jana

    Mzee alijishushia heshima yake yote kwa watanganyika kushadadia bila kukemea mauaji ya halaiki ya tarehe 29th Oct
  2. F

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Yaani unataka CDM waingie maridhiano wakati CCM ya mafisadi wameficha mapanga mgongoni we mzee unaanza kuzeeka vibaya eee. Kwanza maridhiano ni matendo, 1. Tubu na sema uliua watu wangapi na kwa nini uliamua kufanya hivyo. 2. Miili yao ipo wapi 3. Futa kesi zote za kisiasa na utangaze utekaji...
  3. F

    Jimbo la Isimani, Iringa tunasema Festo Kiswaga anatosha kuwa mrithi wa Lukuvi

    Ujinga wa ma CCM yameshaanza kupeana vyeo. Eti jimbo - useless.
  4. F

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Nyie mkiugua msifichage maradhi..... na we spika usema ugonjwa wako mapemaa hatutaki kishitukizwa sie
  5. F

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Kakimbia ICC huyo!!
  6. F

    Wasiwasi watanda, Tume ya Jaji Chande ikikamilisha ripoti yake

    Nchi yoyote inaongozwa kwa Katiba na Sheria, ukiona hadi taahira anapenya hadi kutaka kuongoza nchi basi kuna tatizo kubwa katika Katiba na Sheria za hiyo nchi.
  7. F

    Wasiwasi watanda, Tume ya Jaji Chande ikikamilisha ripoti yake

    Sasa kama wewe ni mwana CCM kama mimi elewa ndani ya chama hakuna wa kumgusa. Ulishaona Waziri yoyote anaacha kutumia gari la Serikali assigned ila anatumia la kwake bad enough anaweka na plate number ya kwake, from which power? Kama si ujinga Ndo anakuwa Rais wako 2030.
  8. F

    Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    Serikali ya CCM itahaha sana, wananchi washaamka hii si miaka ya 1960 ya mwalimu. Sasa Dunia tunakwenda kwenye AI, wewe unahangaika na Camera tech ya miaka 100 iliyopita leo Dunia ipo kwenye AI maana yake ni kwamba kama wewe mbumbumbu basi unaweza kutumia akili za wengine kusonga mbele. Sasa...
  9. F

    Submissions zimekidhi haja, tusali na tuombe

    Wale wahuni wamelowa hadi kwa boxers, jaji wao Mwanga leo ana tumbo la kuhara dadeq.
  10. F

    Wasiwasi watanda, Tume ya Jaji Chande ikikamilisha ripoti yake

    Kwani hadi leo we hujui mamako anapolea maelekezo toka kwa Bashite namna ya kuongoza Tanganyika yetu. Hivi Duniani kuna kiongozi alishaamuru kuua vijana wake zaidi ya 10,000 kisa tu mambo ya kisiasa ya uchaguzi? Kuna kiongozi hapo ama bakuli
  11. F

    Hivi Chadema ina mwanasheria kweli?

    Bata kweli wewe, dadako samia ana akili hata kwa bakuli hazijai...afu eti mshauri wake mkuu bashite - hivi tuna Tanganyika kweli? Na nyie JWZT muwe mnatumia akili walau kidogo, hii si Tanganyika ambayo waasisi waliipigania, hili sasa ni pango wa wanyanganyi, tena wa kutumia silaha. Taifa gani...
  12. F

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    Anaogopa kutekwa, umri huo na elimu yako bado unatishiwa kifo tena na mwanamke mwenzio asie na elimu wala IQ. Aibu kubwa.
  13. F

    Wasiwasi watanda, Tume ya Jaji Chande ikikamilisha ripoti yake

    Tume ya maelekezo hiyo, Kama una Serikali iliyojiweka madarakani kwa gharama za damu za watu never expect anything positive. Mkuu wa nchi anayepokea maelekezo hadi kwa Makonda, kuna nchi hapo ama utopolo.
Back
Top Bottom