Sifa zangu
Elimu: degree
Kazi: nimejiajiri (phone accessories)
Mahali Kanda ya ziwa
Umri: 30
Dini: pentecoste
SIFA ZA MKE
Elimu: kuanzia form 4
Umri: chini ya 30
Dini: mkristo akiwa na vocal ya kuimba itapendeza zaidi
Awe mrembo na mwenye shepu yakuvutia
NOTE: ASIWE NA MTOTO KABILA LOLOTE...
Kwanza nimefrahi mno kuona watoto na walimu kwa umoja wao wanaburuduka hapo hata cheo hinivui unatakiwa unipongee kwa kupiga mziki unaopendwa na wote shule siyo kusoma tu burudani kama hizo zinamfanya mtoto atamani kwenda shule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.