Recent content by funky anology

  1. F

    Madiwani Tanzania nzima hawazitaki mashine za kamari za kichina ila Serikali kuu chini ya Mwigulu inaziruhusu

    Shida Iko wapi!!? Haulazimishwi kucheza acheni tuinjoy Kila mtu na starehe yake
  2. F

    Mke mwema anahitajika

    Uko sahihi
  3. F

    Mke mwema anahitajika

    Uko sahihi kulingana na akili yako
  4. F

    Mke mwema anahitajika

    Cheche zipo!!
  5. F

    Mke mwema anahitajika

    Sifa zangu Elimu: degree Kazi: nimejiajiri (phone accessories) Mahali Kanda ya ziwa Umri: 30 Dini: pentecoste SIFA ZA MKE Elimu: kuanzia form 4 Umri: chini ya 30 Dini: mkristo akiwa na vocal ya kuimba itapendeza zaidi Awe mrembo na mwenye shepu yakuvutia NOTE: ASIWE NA MTOTO KABILA LOLOTE...
  6. F

    Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

    A teacher as a musian, a teacher as a DJ a teacher as a judge!!? Hizi zote ni sifa za mwalimu bora
  7. F

    Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

    Kwanza nimefrahi mno kuona watoto na walimu kwa umoja wao wanaburuduka hapo hata cheo hinivui unatakiwa unipongee kwa kupiga mziki unaopendwa na wote shule siyo kusoma tu burudani kama hizo zinamfanya mtoto atamani kwenda shule
  8. F

    Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

    Hizo takataka ndizo unalinganisha na burudani waliyocheza wanafunzi!?
Back
Top Bottom