Recent content by fundik

  1. F

    Tamko la Rais Magufuli juu ya mimba za wanafunzi linapingana na sheria zilizopo

    Hili la kunyimwa elimu kwa binti aliyepata mimba linawahusu maskini wa nchi hii ambao awamu hii inajinasibu kuwa ni ya wanyonge. Wenye uwezo wao watasoma tu private. Washabiki wakuu ndio waathirika wakuu
  2. F

    Tamko la CHADEMA kuhusu kauli ya Raisi Magufuli ya kutowarudisha shule wanafunzi waliobeba ujauzito

    A clear contradiction from the top to the bottom in the rulers side. 1. Mzazi na binti anatakiwa atoe ushirikiano kwa vyombo vya dola ili aliyemtia mimba binti yake (mwanafunzi) afungwe maisha. 2. Serikali inaapa kwamba binti anayetakiwa atoe ushirikiano hatarudi shule kamwe. 3. Hakuna mpango...
  3. F

    Hussein Bashe: Nimekunwa na nyaraka za Tundu Lissu

    Mwenye akili haogopi kelele za huyoooooo huyoooooo wakati ana uhakika wa anayoyafanya/ anayoyasema. Bila aibu miaka ijayo watashangilia mawazo/ maneno waliyokuwa wanayazomea bila hata kutambua wanastahili kumshangilia nani, aliyetoa wazo miaka iliyopita au anayerudia leo. Hao ni "ndio mzee" bora...
  4. F

    Tetesi: CCM kufukuza Wanachama 11 wakiwemo Vigogo hawa 3

    Natamani utokee uchaguzi wapambanishwe Kubenea Vs Paul tuone jinsi aibu itakavyofichwa bila mafanikio
  5. F

    Tetesi: CCM kufukuza Wanachama 11 wakiwemo Vigogo hawa 3

    Wanaofahamu maana ya upinzani wanajitahidi kuwabana wasipumue ili wananchi wasisikie ya upande wa pili. Kwa uwezo wako wa kufikiri omba tu utokee uchaguzi wa mjini kwa watu wanaojitambua ndio utaona nguvu ya pinzani.
  6. F

    Viongozi kuzuia mazao ya chakula yasitoke nje ya maeneo yanapozalishwa wanawatendea haki wakulima?

    Hawa hawajui ugumu wa kulima, wanazuia mazao yasitoke ili soko liwe gumu wasiolima wanunue kwa bei rahisi. Kutokana na hasara/ faida ndogo wakulima hawawezi kupanua kilimo na wasiolima hawawezi kuvutika kutafuta mashamba, matokeo uzalishaji hauongezeki na umaskini unatamalaki.
  7. F

    Upuuzi huu wa CCM upingwe kwa nguvu zote!

    Serikali haitekelezi sera za chama moja kwa moja, bali inafanya kazi kwa kufuata sheria, kanuni, taratibu au sera za serikali. Chama kinachounda serikali kina nafasi ya kuingiza sera zake katika seheria, kanuni na taratibu za kiserikali ili ziweze kutekelezwa na watumishi wa serikali. Serikali...
  8. F

    Mama Salma, Ally Kessy wapinga wanafunzi waliopata mimba kurudishwa shuleni, wasema dini haziruhusu

    Nina wasiwasi na kiwango cha elimu/ kujitambua kwa hawa wabunge wawili. Kama hawajagushi basi hawana vyeti kabisa. Lazima watakuwa wanaamini kuwa kazi ya mwanamke ni kumhdumia mwanamme tu kama walivyokaririshwa maandiko wakati wanasoma madrasa. Wanaamini kuwa mtoto wa kike akipata mimba...
  9. F

    Mtakaofutwa kazi kwa vyeti feki nendeni Mahakamani

    Maamuzi yoyote yanayokinzana na kanuni ya haki ya asili (rules of natural justice) ya kusikilizwa (kujitetea dhidi ya tuhuma inayoelekezwa kwako) ni batili bila kujali yako wazi kiasi gani au yametolewa na nani.
  10. F

    Sammy Awamy (Mwandishi wa BBC) jirekebishe, kila 'umbea' unaupeleka BBC-Afrika

    Anayekupenda atakuambia madhaifu/ changamoto ili usonge mbele kuliko anayekusifia kwa yale ambayo umeyafanikisha, huyo hakusaidii zaidi ya kujikomba kwa maslahi yake
  11. F

    Wakati umepita Tanzania kuwa na Wimbo wa Taifa

    Wimbo wa Taifa ni utambulisho wa Taifa kwa mataifa mengine. Tuna bahati sana hatupo katika ushindani wa kimataifa, hivyo ubashite wetu hauwekwi wazi. Kwa mfano utokee muujiza tushinde medali yoyote katika mashindano ya kidunia pamoja na South Africa ambao wamezoea kushinda. Wimbo wa Taifa...
  12. F

    Wakati umepita Tanzania kuwa na Wimbo wa Taifa

    .Ukiimbwa unaweza fikiri ni wa kwetu kwa kuwa unaimbwa kwa kiswahili. ila ukipigwa utatambua kuwa ni wa South. Kama Taifa tumeiga utambulisho wa taifa, kwa vipi tushangae wasanii wakiiga filamu na nyimbo za nje, vijana na mavazi na tamaduni za wenzetu, life style ya kimashariki au magharibi n.k.
  13. F

    Mikataba ya Madini inasemaje kuhusu michanga ya dhahabu?

    Tuliaminishwa kuwa tumekamata wezi wa samaki wetu baharini, tukalipa mabilioni bila kuelezwa kilichojiri, tukaambiwa tumeibiwa mabilioni kwa kuzuia mita za mafuta zisifanye kazi bandarini. Imeundwa tume na kubaini hatujaibiwa chochote kwa jinsi mfumo wa kodi unavyofanya kazi kwenye mafuta...
  14. F

    Serikali ya Tanzania yapiga Marufuku ndoa kufanyika bila ya vyeti vya kuzaliwa kuanzia 1/5/2017

    Hivi ile amri yake ya kuzuia mabasi ya mikoani kusimama ili kuchimba dawa porini ipohakuna vyoo vya umma kandokando ya barabara bado ipo? Huyu ndiye Dr, wa ano wa Serikali Tatuna Waziri wa Sheria aliyekana chapisho lake mwenyewe kuhusuMuung
  15. F

    Sheria gani inayotumika kuzuia pombe ya viroba?

    Msitake kutuaminisha kuwa alichosema Tundu Lisu ni sahihi kwamba "kuna viongozi wanadhani kuwa kila wanalolisema ni sheria na watumishi kwa hofu wanatekeleza matamko kana kwamba ni sheria"
Back
Top Bottom