As-Salaam Alaykum
(Peace Be Unto You) Natumai Hamjambo Na Mko Vyema Karibuni Sana Katika Uzi Huu.
Ukituskiza Vizuri Mashabiki wa Yanga Tukiwa Tunaongelea Mpira, Hasa Timu Yetu Wallah Nakuapia Tunakeraaa Sie na Ujichanganye Kusikiliza interview za Coach GAMONDI ambaye ungependa kusikia...
Mkuu Hii Gari Hua Nikikuta Imeegeshwa (Parking) Sehemu Hua Naona Aibu Kueka Harrier Yangu Naona Nieke Mbali au Nijifanye Nimeeka Car Wash Ikoshwe Kumbe Aibu Tu..!! 😂😂😂
Mungu Anipe Wepesi Miaka Si Mingi Namie Ntanunua Walau Hii Nifanye ata Mkopo wa Bank😂🙌
Alhamdulilah Imenichukua Miaka 27 Hapa Duniani Kumiliki Gari Yangu Mwenyewe (Harrier) Tena Bila Mkopo wowote Wala Sio Zawadi Ati Nilipewa na Mtu...!! Wallah Kua na Gari ni Raha Sana Tena Yenye Hadhi
Sina Uzee Wowote ni Kijana Mdogo wala Sina Pesa Nyingi ila Kudra Zake Mola Kanijalia Hiki...
Endeleeni Kuamini Mnalongwa ila Ukweli ni Mnatetemeka Sana Kama Jenereta Linalokwisha Mafuta...!! Subirini Waarabu Waje na Mapipa Yao Wakukandeni Mbili Swafiii
Tena Kolozidad Nawashauri Siku Hio Msifunge Saum & Kwaresma Unless Otherwise Mtafwarikiii Kwa Pressure National Al Ahly Atawasuprise...
Zingine Atatoa na Mshua Au Sio😂....!! Mshua na Bimkubwa Ote Wanatumia Viinua Mgongo Vyao Kuishi Maisha Yao Lakini Nikiwa Kama Mtoto wa Tatu Juzi Hapo Before Ramadan Niliwaongezea Gari Ist Kama Kupata Baraka Kutoa Kwao
Huenda Buana Maake Nna Muda Sana Sijawai Kupata wa Kunipenda na Vijisenti Vyangu Hivi...!! Hadi Siamini Hii Kauli ya Tafuta Pesa ili Upate Pisi za Kuishi Nazo...!! Labda Ununue Malaya wa Kulala Nae Tu
Kaka Kwa Ufupi Sana Pisi Nyingi Hunisifia Mie ni Hb Kiumaumbile Niko Vizuri...!! Mtu wa Yoga Sana...!! Kwenye Kudinya Kuna Bebe Moja Nlioteaga Ikaniambia Mie Ni Mtamu Sana Aiseee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.