Recent content by Fundi kipara

  1. Fundi kipara

    Nahisi GSM na Hersi wana nia mbaya kwa mashabiki wa Simba. Ukweli wote huu hapa

    Soma Tena Mchumba Angu. Naamini Umekurupuka I'm Yanga Fam
  2. Fundi kipara

    Nahisi GSM na Hersi wana nia mbaya kwa mashabiki wa Simba. Ukweli wote huu hapa

    As-Salaam Alaykum (Peace Be Unto You) Natumai Hamjambo Na Mko Vyema Karibuni Sana Katika Uzi Huu. Ukituskiza Vizuri Mashabiki wa Yanga Tukiwa Tunaongelea Mpira, Hasa Timu Yetu Wallah Nakuapia Tunakeraaa Sie na Ujichanganye Kusikiliza interview za Coach GAMONDI ambaye ungependa kusikia...
  3. Fundi kipara

    Gari yako ya kwanza ulinunua ukiwa na umri gani?

    Mkuu Hii Gari Hua Nikikuta Imeegeshwa (Parking) Sehemu Hua Naona Aibu Kueka Harrier Yangu Naona Nieke Mbali au Nijifanye Nimeeka Car Wash Ikoshwe Kumbe Aibu Tu..!! 😂😂😂 Mungu Anipe Wepesi Miaka Si Mingi Namie Ntanunua Walau Hii Nifanye ata Mkopo wa Bank😂🙌
  4. Fundi kipara

    Gari yako ya kwanza ulinunua ukiwa na umri gani?

    Alhamdulilah Imenichukua Miaka 27 Hapa Duniani Kumiliki Gari Yangu Mwenyewe (Harrier) Tena Bila Mkopo wowote Wala Sio Zawadi Ati Nilipewa na Mtu...!! Wallah Kua na Gari ni Raha Sana Tena Yenye Hadhi Sina Uzee Wowote ni Kijana Mdogo wala Sina Pesa Nyingi ila Kudra Zake Mola Kanijalia Hiki...
  5. Fundi kipara

    Mamelodi hawawezi kuwatoa yanga

    Chambua...!!
  6. Fundi kipara

    Mamelodi hawawezi kuwatoa yanga

    Mkuu Unapaswa Kua Nabii Wewe Aisee Ulijuaje Kama Leo Kuna Sare ya 0-0 Naanza Kuamini Hii Nyuzi Yako Hapa Jamvini
  7. Fundi kipara

    Kama tumekubaliana kuwa wamoja kimataifa, sasa kwanini tumeanza kurogana wenyewe kwa wenyewe?

    Kama Kitu Hukielewi Basi Ujue Hakijaandikwa Kwajili Ako Dogo...!! Don't Panic Hii Comment Sio Yale
  8. Fundi kipara

    Kama tumekubaliana kuwa wamoja kimataifa, sasa kwanini tumeanza kurogana wenyewe kwa wenyewe?

    Endeleeni Kuamini Mnalongwa ila Ukweli ni Mnatetemeka Sana Kama Jenereta Linalokwisha Mafuta...!! Subirini Waarabu Waje na Mapipa Yao Wakukandeni Mbili Swafiii Tena Kolozidad Nawashauri Siku Hio Msifunge Saum & Kwaresma Unless Otherwise Mtafwarikiii Kwa Pressure National Al Ahly Atawasuprise...
  9. Fundi kipara

    Jana nimeota mechi ya ugenini Yanga anashinda 1-2 na nyumbani 2-1

    All The Best Wananchi....!! Are The Fasting Ramadan...? Basi Hizo Dua Zako Ingiza Humo Allah Afanye Wepesi Iwe Kweli
  10. Fundi kipara

    Wanawake hawanitaki, nahisi nina mkosi mkubwa

    Zingine Atatoa na Mshua Au Sio😂....!! Mshua na Bimkubwa Ote Wanatumia Viinua Mgongo Vyao Kuishi Maisha Yao Lakini Nikiwa Kama Mtoto wa Tatu Juzi Hapo Before Ramadan Niliwaongezea Gari Ist Kama Kupata Baraka Kutoa Kwao
  11. Fundi kipara

    Wanawake hawanitaki, nahisi nina mkosi mkubwa

    Huenda Buana Maake Nna Muda Sana Sijawai Kupata wa Kunipenda na Vijisenti Vyangu Hivi...!! Hadi Siamini Hii Kauli ya Tafuta Pesa ili Upate Pisi za Kuishi Nazo...!! Labda Ununue Malaya wa Kulala Nae Tu
  12. Fundi kipara

    How can I check my luck by date of birth?

    Kwahio Mkuu Tupe Sifa + Weakness za Life Path Number 4
  13. Fundi kipara

    Wanawake hawanitaki, nahisi nina mkosi mkubwa

    Kaka Kwa Ufupi Sana Pisi Nyingi Hunisifia Mie ni Hb Kiumaumbile Niko Vizuri...!! Mtu wa Yoga Sana...!! Kwenye Kudinya Kuna Bebe Moja Nlioteaga Ikaniambia Mie Ni Mtamu Sana Aiseee
  14. Fundi kipara

    Wanawake hawanitaki, nahisi nina mkosi mkubwa

    Nmekusudia Kung'arisha Nyota Yangu Kama Mwezi Angani Ing'ae Kabisa Nmechoka Kua Lonely
Back
Top Bottom