Huu Uzi Ufutwe Hauna Maana Yeyote Aisee...!! Alieandika Kashiba Mihogo Tu Haelewi Kaandika Aisee
Watu wa Nchi Katika Football Wanataka Furaha Ambayo ni Matokeo ya Match Tu Nasio Hayo Unayosema Wewe....!! Hakuna Mwekezaji Atakuja Kuwekeza Sehem ili Apate Hasara Tu Nasio Faida...!! Mwekezaji...
Mkuu Kama Unawaza Maisha ya Wajumbe Hao wa CCM Kwamba Ndio Yameishia Hapa Basi Tambua Kua Wewe ni Miongoni mwa Watu MlioFail..!! Hupaswi Hata Kubet Mike kama Yako Itapasuka Vibaya Mno...!! Elewa Kua Misingi ya Watu Hao Yamejengwa na Chama Ambacho ni CCM
Tegemea Lolote Kua Wana sehem Yao...
As-Salaam Alaykum
(Peace Be Unto You) Natumai Hamjambo Na Mko Vyema Karibuni Sana Katika Uzi Huu.
Ukituskiza Vizuri Mashabiki wa Yanga Tukiwa Tunaongelea Mpira, Hasa Timu Yetu Wallah Nakuapia Tunakeraaa Sie na Ujichanganye Kusikiliza interview za Coach GAMONDI ambaye ungependa kusikia...
Mkuu Hii Gari Hua Nikikuta Imeegeshwa (Parking) Sehemu Hua Naona Aibu Kueka Harrier Yangu Naona Nieke Mbali au Nijifanye Nimeeka Car Wash Ikoshwe Kumbe Aibu Tu..!! 😂😂😂
Mungu Anipe Wepesi Miaka Si Mingi Namie Ntanunua Walau Hii Nifanye ata Mkopo wa Bank😂🙌
Alhamdulilah Imenichukua Miaka 27 Hapa Duniani Kumiliki Gari Yangu Mwenyewe (Harrier) Tena Bila Mkopo wowote Wala Sio Zawadi Ati Nilipewa na Mtu...!! Wallah Kua na Gari ni Raha Sana Tena Yenye Hadhi
Sina Uzee Wowote ni Kijana Mdogo wala Sina Pesa Nyingi ila Kudra Zake Mola Kanijalia Hiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.