Zambia anaagiza IST kutoka Japon kupitia bandari ya Dar, Gari ikifika Dar inaingia road na kwenda Zambia, Gharama nzima hadi mteja anapata IST yake inakwenda 12M. Mtanzania mwenye bandari ananunua gari hiyo hiyo with the same price from Japon , hadi inamfikia mkononi anatumia 18 to 20 M : the...
Kwa Sasa kikokotoo kimeua ndoto za wafanyakazi(watumishi).
Sasa hakuna mtumishi atapata zaidi ya 50,000,000.
Kanuni inayo tumika hapa ni
1/3×(pension Yako).yaani Kama ulitakiwa upewe pension 100,000,000 utapata 33,333,333 tuu.
Kwa ujumla serikalini hakuna pesa.🤣🤣🤣🤣🎶🎵🎶🎵🎶
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.