Recent content by Fund man

  1. Fund man

    Baada ya Mabakuli kurudi kapa; Serikali kuja na mpango wa kuongeza kodi

    Zambia anaagiza IST kutoka Japon kupitia bandari ya Dar, Gari ikifika Dar inaingia road na kwenda Zambia, Gharama nzima hadi mteja anapata IST yake inakwenda 12M. Mtanzania mwenye bandari ananunua gari hiyo hiyo with the same price from Japon , hadi inamfikia mkononi anatumia 18 to 20 M : the...
  2. Fund man

    Natafuta kifaa cha kutengeza hatch kama hii

    Nenda kwa fundi seremala atakutengenezea.
  3. Fund man

    Maafisa Idara za elimu anapostaafu Kiinua mgongo ni Wastani wa Tsh ngapi kwenye TGTS H au I?

    Kwa Sasa kikokotoo kimeua ndoto za wafanyakazi(watumishi). Sasa hakuna mtumishi atapata zaidi ya 50,000,000. Kanuni inayo tumika hapa ni 1/3×(pension Yako).yaani Kama ulitakiwa upewe pension 100,000,000 utapata 33,333,333 tuu. Kwa ujumla serikalini hakuna pesa.🤣🤣🤣🤣🎶🎵🎶🎵🎶
  4. Fund man

    Nahitaji coaster 10 za kukodisha

    Sawa mjasiliamali
  5. Fund man

    Rais Samia anza kuandaa mlio utakaolia baada ya kuachia Ikulu

    The guilty are afraid🤣🤣🤣🤣🎵🎶🎵🎶🎵🎶🎵🎶🎵🎶🎵
Back
Top Bottom