Kevin De Bruyne amemaliza dili la kusaini mkataba wake mpya wa kuendelea kubaki katika kikosi cha Manchester City chini ya kocha Pep Guardiola ambapo mkataba wake ameongeza hadi ifikapo April 2025
siku ya jana msanii diamondplatnumz alijikuta akisikiliza na kutazama ngoma za zamani kutoka kwa msanii Qchief.
Iko wazi kuwa Qchief ni msanii pendwa wa diamondplatnumz na hilo mpaka sasa bado halijabadilika,DIAMOND kupitia instastory yake siku ya jana ameendelea kusisitiza kwa kusema kuwa Q...
Caren Simba ambaye ni mzazi mwenzie Baraka The Prince afunguka:
"Mimi na Barakah tumekuwa kwa muda mrefu ila aliyekuwa anajulikana ni Naj, wakati yeye yupo na Naj mimi nilikuwa na ujauzito wake na tukaachana kwa sababu ya huyo Naj, sikuwa mchepuko bali ni mwanamke wake kabisa, hatukuwa tayari...
Ukiachana na mengine, Paula bado anaweza kusimamiwa vizuri akawa anaingiza pesa huku akiwa bado anaendelea na shule. Mitandao haiharibu mtu ikiwa amepata muongozo mzuri wa kuitumia na asipopata muongozo mzuri inaweza kumharibu sababu watu wengi mitandaoni wanapendana pia kuona na kufurahia mtu...
Priyanka Chopra(38) amesema yeye na mumewe Nick Jonas(28) bado hawana mtoto sababu yupo busy sana na kazi kutokana na mikataba aliyosaini hivyo inakuwa ngumu kwake kubeba mimba kwasasa lakini muda sahihi ukifika atabeba mimba kwakuwa yeye na Nick wana lengo la kuanzisha familia.
Priyanka...
Safaree mwanamuziki maarufu wa hip hop Marekani ameibuka kusema kuwa moja ya makosa makubwa aliyowahi kuyafanya katika maisha yake ni kuingia kwenye ndoa, amesema haitatokea yeye kuoa tena na kwasasa ameamua kuchukua njia yake kabla hajaishia jela
Safaree alimuoa mrembo Erica Mena pichani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.