Fumbokhan
Member
- Jan 16, 2021
- 6
- 20
Safaree mwanamuziki maarufu wa hip hop Marekani ameibuka kusema kuwa moja ya makosa makubwa aliyowahi kuyafanya katika maisha yake ni kuingia kwenye ndoa, amesema haitatokea yeye kuoa tena na kwasasa ameamua kuchukua njia yake kabla hajaishia jela
Safaree alimuoa mrembo Erica Mena pichani mwishoni mwa 2019 na wamepata mtoto mmoja
Kabla, Safaree aliwahi kuwa kwenye mahusiano na Nicki Minaj kwa miaka kadhaa
Safaree alimuoa mrembo Erica Mena pichani mwishoni mwa 2019 na wamepata mtoto mmoja
Kabla, Safaree aliwahi kuwa kwenye mahusiano na Nicki Minaj kwa miaka kadhaa