Mdada huyo wa S.Africa ambaye kitaaluma ni mhandisi na tayari ana kazi, amejiua kisa mapenzi. Kabla ya kujiua aliibukia Facebook kumtuhumu boyfriend wake. Anasema alijitoa sana kwa mwanaume husika lakini akaishia kuharibiwa maisha yake na jamaa. Aliongeza kuwa mwanaume huyo alisababisha awe kama...
Msanii Harmonize baada ya kudondosha muziki wake wa USHAMBA amekuwa akiweka post mbali mbali zikiashilia kama kijembe na kujawa na majigambo kuhusu wimbo wake huo hii hapa chini ni miongoni mwa kijembe alicho kirusha huko INSTAGRAM.
Diamond platinum ndio msanii wa kwanza Tanzania kufikisha viewers 2.3M ndani ya Masaa machache(21 hours) katika platform ya youtube kupitia wimbo wake wa waah!!, wimbo wake howa Diamond Amemshirikisha msanii wa nchi ya Congo ajulikanae kwa jina la Koffi Olamide.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.