Recent content by full name

  1. full name

    JamiiForums Tanzania Ni aibu kwa klabu kubwa Kama Simba Sc kupiga magoti na kuanza kubembeleza mchezaji

    Na usikue anayepost hii kitu ni huyo huyo aliyekua anabusu kiatu cha Chama! Baada ya mahaba muisha akapost hii kitu
  2. full name

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Hekta 6,000 zilizopo Bagamoyo ni mali yetu

    RAZABA= Ranch Zanzibar Bagamoyo
  3. full name

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mtanzania afariki kwa kupigwa risasi South Africa

    Shida ya kubwa ya watanzania wenzetu wanaoenda South Africa ni kujiunga na makundi ya uharifu na kuchukukua madem za watu. Nature ya wanaume wa kizulu ni kupenda starehe(pombe) uvivu na hivyo kupelekea kuwa tegemezi kwa wanawake zao.Kutokana na kukithiri kwa ulevi inapelekea parfomance dhaifu...
  4. full name

    JamiiForums Tanzania Hajia Manara aonekana Mwanachi Day japo adhabu yake inaendelea

    Ni hivi mkuu, huyu Manara last press aliyoitisha alisema yeye bado msemaji halali Wa Yanga… na leo kupanda jukwaani na kuwatambulisha wachezaji wa yanga ni kwamba anauthibitishia umma kwamba yeye bado msemaji wa Yanga.Ni dharau ya hali ya juu Mbaya zaidi hapo uwanjani kuna mawaziri na viongozi...
  5. full name

    JamiiForums Tanzania Yanga wanajiandaa kumpeleka Kamati ya Maadili Rais wa TFF kwa kuwatukana hadharani

    Jamaa mzinguaji,ona alivyo na propaganda za kitoto! Hiyo kweli ni sigara kama mwenyewe anavyodai
  6. full name

    JamiiForums Tanzania Gazeti la Mwananchi lina ubia na Januari Makamba?

    Kabla ya ziara ya hiyo miko 14 mimi pia nilijuiza swala kama hili!
  7. full name

    JamiiForums Tanzania Haya ni Matunda ya filamu ya Royal Tour ndani ya Miezi miwili pekee tu, kwa hili Mama aliupiga mwingi

    Picha by UVCCM-Vijana Ngorongoro green tour!
  8. full name

    JamiiForums Tanzania Mwanasimba mwenzangu isikupite hii

    Si kweli. Yule aliyekuwa msemaji wa familia ya akina MO alipotekwa ni Azim Dewji na huyu anayezungumziwa hapa ni Kassim Dewji.
  9. full name

    JamiiForums Tanzania Hivi kale ka kisiwa ambako Nyerere aliwatia watu kizuizini kuna Rais aliendelea kukatumia? Au bado kanatumika?

    Hicho kisiwa kipo mkuu! kinaitwa Sinda.Watu huwa wanaenda kuspend weekendwakitokea hapo Slipway na wengine wakitokea beach za kigamboni kama vile Barracuda,Southbeach n.k
  10. full name

    JamiiForums Tanzania Waziri Makamba ana "traits" za kuwa Rais baada ya Samia. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

    Kumekucha! Mnaanzaga hivi hivi kama mzaha.Hata Riz kuwa waziri mlianza hivi hivi
  11. full name

    JamiiForums Tanzania TEMESA Ferry, wekeni viti kwenye jengo jipya la abiria upande wa Kigamboni

    Shida sijui ni Ubunifu au wanashindwa kujiongez! We kweli wametengezeza banda kubwa kwa ajili ya namba kumbwa ya abiria,then eti wash room ya choo kidogo wameweka kimoja na kikubwa kimoja???
  12. full name

    JamiiForums Tanzania “Loliondogate” is back with climate change biting deep in Maasailand

    Ahsante mkuu, kwa kuongezea sasa hivi namba ya Kondoo kule(ngorongoro) ni kubwa sana zaidi ya ng'ombe na mbuzi.Kondoo anakula nyasi mpaka mizizi na hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira. Namba ya kondoo ni kubwa kwa sababu bei yake sokoni imechangamka.
  13. full name

    JamiiForums Tanzania “Loliondogate” is back with climate change biting deep in Maasailand

    Hizo habari za "kuunga mkono wamasai wauwawe na mwarabu" ndio uzandiki wenyewe. Iko wazi kwamba Namba ya watu na mifugo imeongezeka so inaathiri ecologia ya eneo husika! Mbaya zaidi wameanza kufuga na kondoo ambao wanakula mpaka mizizi, ambao huko Maasai mara mnakatazaaa kabisa kuingiza kondoo.
Back
Top Bottom