kama amekamatwa hosptali kubwa 2.. uyo ni dactari bingwa.
Mpeni lieso za uperation kwenye wanyama pia awape prosija zoote za kufanya upasuaji kwa mama na watoto,uvimbe..
Akiweza nae tutamuita DAKTALI WA MAMA.
sizani kama atashindwa uyo..
:MPENI AJIRA anatikizenu za octoba✅
🫣🫣
HONGERA KWA KUPATA MKE✅
Nb:Kabla ya manabii na wapiga ramli
Ilitakiwa ufanye yafuatayo
1.kupima mbeguzako na kuhakikisha kama ziko byee..
2.wote wawili mumfate docta bingwa wa kinamama mfate mashartyake wangarau miez 6..
3.ungeenderea kutumia dawa za asili .
4.FANYA MAAMUZI AMBAYO KWAKO UNAONA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.