Yaan mil moja ukatupe kwenye matikiti...nililima yakanikomesha haswaa...nikapata stress mpaka nikawa navushwa barabara ya vumbi na watoto wadogo..hata kuyala nikaacha kabisaa...jaribu lakin...
kula yangu ni ya shida sana...tokea mwaka umeanza nimeandamwa na majanga yaliyo nizidi uwezo, sina furaha, mwili unadhohofika kwa njaa, mawazo kila saa...huu uzi mpaka nahisi unanihusu mim...kwa kweli naelekea kukata tamaa..
mpaka na mim nijirudishie mabomu niliyopigwa na maji ya kuwasha washa...ndio niwalipe...tena nipange kiasi cha kuwapa...kama walivyopanga wao kiasi cha kunipa...dhuluma sitak mim
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.