Haiwezekani wewe uwe una tatizo la kiafya badala ya mkeo aende na wewe mza mfikilie jinsi gani mpate pesa za matibabu yako yeye anasema anabaki kwao.
je yy ni mke wa nani?ina maana hana uchungu na wewe sasa na ndio maana ata anasita kuuza gari yake kwa sababu ya kutibiwa wewe.
Hakuna kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.