Wadau mimi nahoji hili...
Kama "pesa za dili" ziliwawezesha wazazi kuwapeleka watoto wao shule, kulipia pango la nyumba, kulisha familia, kupata huduma za afya, kulipa kodi za serikali, kujenga pamoja na mengine mengi; kwanini basi serikali imeamua kuwanyang'anya watu wake "pesa za dili" na...