Recent content by From HEAVERN

  1. F

    Mwenge Catholic University

    Una usongo man ochu
  2. F

    Mwenge Catholic University

    Man Oahu unable using na mwecau
  3. F

    Madhara ya dawa ya Zosec kwa mjamzito

    Jamani wakuu, Naombeni mnisaidie: Dawa ambayo hutumiwa na watu wenye vidonda vya tumbo aina ya Zosec (Omeprazole) ina madhara yoyote kwa mjamzito? Kama yapo, ni yapi?
  4. F

    Msaada jaman naombeni kuuliza

    Naomben kujuzwa n nn knasababsha mimba kuwa kubwa haraka au kuonekana mapema tofauti na umbile la mtu, namaanisha labda kuna vyakula vnasababsha. Naomben msaada wenu
  5. F

    Mimba kubwa

    Naimani mungu amewatangulia kwa cku ya leo, mimi nina swali eti n kwanini watu wengine mimba zao huwa znakua haraka na wengine hata huwa hazionekan, je ni sababu gani inakuwa hvo na n vitu gan ambavyo vnasababisha mimba kukua haraka na je kati ya mtu mwembamba na mnene n yupi mimba yake...
  6. F

    CHADEMA huwalipa wanaoandamana

    hadithi yako inatufundisha nn
  7. F

    Rasimu mpya - uwajibishwaji wa viongozi wa umma

    yan ni upuuz mtupu eti asiwajibshwe mpaka amalize muda wake wa uongoz eti na kuusu nguvu ya rais ndani ya mahakama cjackia wanaizungumzia au me nmechela
  8. F

    Chenge Afunika Rasimu ya katiba pendekezwa

    yani me watanzania wananikera kitu kimoja tu hawana msimamo huyu anamsifia chenge kwa lipi sasa kama co danganya toto tu! Basi tuwe tunathink big kidogo basi jamani da!
  9. F

    UKAWA vipi tena?

    nadhan walisema kuwa UKAWA walitoka bungen bila ruhusa ya spika so hawana hio haki au me nlielewa vbaya na akasema mpaka wamwombe spika ndio mwenye uwezo wa kuwapa ruhusa ya kupiga kura au la!
  10. F

    Mahakama ya kadhi

    Jamani naomben mnisaidie mimi sijaelewa suala la mahakama ya kadhi limepitishwa au vipi?
  11. F

    Askofu Mokiwa: Bunge la Katiba linaloendelea ni uhaini na ubatili mtupu

    knachotuumiza watanzania huwa tunaangalia nan kaongea na sio kaongea nini huu muda co muda wa kuangalia nan kaongea bal cmamia katka ukweli mkuu
  12. F

    Askofu wa Katoliki aeleza njia mpya kuzuia Katiba

    sidhan kama unakielewa unachokiongea
  13. F

    Siku za kuingia period kupungua

    Habari za jumapili wanajamvi, Naomba niende mojakwa moja kwenye mada. Nina rafiki yangu alipoanza kuingia period akiwa kidato cha 2 alikuwa anaingia siku 4 hadi 5 but sasa hivi yupo kidato cha sita na anaingia period siku moja au mbili. Je, hili ni tatizo au ni kawaida na kama ni tatizo...
  14. F

    Binti amjibu mama yake, ndio maana baba ana mwanamke mwingine

    pia kupeleka watoto shule za bwen wakiwa wadogo ndio matokeo hayo but huyo kazidi hana uchungu na mama huyo
  15. F

    Nimegundua madaktari wengi wanaoa wagonjwa wao!

    co ajabu coz hata walimu wanaoa wanafunzi wao
Back
Top Bottom