Wadau ninashida moja kama kuna mtu anafahamu jinsi ya ku-unlock hii moderm ya vodacom, naombeni basi anijulishe maana nimeshatumia njia nyingi sana na bado sijafanikiiwa, naombeni msaada wenu wadau ma-IT managers please!
Jamani naombeni nifahamishwe kama suala la jeshi kwa kidato cha sita mwaka huu lipo mujibu wa sheria JKT maana naona wizara ya ulinzi imekaa kimya mpaka sasa na haijatoa majina na mwisho wa mtihani ya kidato cha sita ni tareh 21 mwez wa tano wiki ijayo kama una taarifa yoyote naomba unijulishie....?
Jamani naombeni mnifahamishe
Eti application za clinical officers zinaanza lini maana nimetembelea sana NACTE lakini naona hamna kitu. Naombeni mwenye information zozote kuhusu hilo anipatie.
Ahsante!
jaman naombeni nifahamishwe kuwa hiv vyuo vya serikali vinavyotoa kozi ya CLINICAL OFFICER nivi ngapi na mnaweza kunitajia au naweza nikavipata link gani na pia O level anaweza kuaply katika vyuo hivyo vya serikali na akapata.....na an apply vipi au kupitia wap...????
jaman asanteni saan kwa kunielewesha sasa tunaweza kuanza kufuatilia kwa ukaribu lakin bado nahitaji saan maoni yenu na naomba msisite pale nitakapokuwa nikiwaulia. KWAHIYO ANAWEZA KUPELEKWA CHUO CHA SERIKALI NA VYUO VYA SERIKALI VIANVYOTOA KOZI YA CRINICAL OFFICERS NITAVIPATIA WAP....?????
Jaman samahanini naomba nieleweshe hiv kuwa hivi kidato cha nne anaweza kwenda kusomea clinical officers katika vyuo vya serikali na application zao zimekaa vipi
jee unaaplaia chuoni au una apply wizarani na ni mda gani wanaanza kuapply naombeni nieleweshwe na kuhusu matokeo yake yuko na...
Jaman kunauvumi ambao umesambaa kuwa necta ya form 6 inaweza kuwa mwezi wa tatu au wa tano kama baraza la mithihani walivyotoa ratiba yao hapo awali hivyo nilikuwa naomba nipate uhahika kuwa jeeh nikwel kuwa necta ya form 6 imerudishwa nyuma na unatakiwa ifanyike march ilikupisha shughuli...
Jaman nilikuwa ninaomba nijuulishwe na wana jf kuwa eti hospitali ya mwananyamala daresalaam wanatoa shahada ya utabibu (udaktari ) yaan bachelor of doctor of madecine kama unafaahamu naomba unifaamishe tafadhari...
Jaman watu wa sengerema mimi nilitaka kujua hivi mngombea ubunge kwa tiketi ya ccm mwaka 2010 yuko wapi make tumemkumbuka saana kwa sera zake nzuri!!!! Mh FRANCISCO KIMASA SHEJABU huu ni wakati wake teena tunamtaka wanasengerema!!!! Au mnasemajeeeeh!! Mimi nilikuwa naona lakin kuwa avue gamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.