Recent content by FRJ255

  1. FRJ255

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nyie ambao hamtaki uchafu kwenye mapenzi, mnawaandaaje wapenzi wenu?

    Hapa umemaliza
  2. FRJ255

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

    Noma sana
  3. FRJ255

    JamiiForums Tanzania Sawa Haraka pesa hamjui kalaga baho ni nani, mmeshindwa hata kuwauliza jirani zenu Pesa X na bahari cash au popo cash wananijua kivipi?

    Siku nyingine baada ya kupokea mkopo nenda settings na uzime permission zote kuanzia contacts, sms, photos,calls,location nk
  4. FRJ255

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemuacha mume wangu kwa ajili yake yeye hajali kanitelekezea watoto wake!

    Ulipapalikia mapenzi acha yakufundishe
  5. FRJ255

    JamiiForums Tanzania Mashoga Wanadai Haki, Lakini Je, Tunaelewa Tunachoshinikizwa Kukubali?

    Na maeneo mengi kwenye Uislam kama Tanga, Zanzibar,Mombasa na Pwani Kuna mashoga mwengi sana ambayo ni Maislamu pia
  6. FRJ255

    JamiiForums Tanzania NAOMBA KAZI YA UTINGO WA MAGARI MAKUBWA

    Sawa
  7. FRJ255

    JamiiForums Tanzania NAOMBA KAZI YA UTINGO WA MAGARI MAKUBWA

    Naomba unisaidie kushare Kwa Wadau wa usafirishaji na madereva. Mimi naomba kutembea na mtu kwenye gari hasa magari makubwa ili nipate uzoefu barabarani Nina lessen daraja D. Naishi Kiluvya-Pwani. Nipo tayari kujituma na kufanya kazi atakazo. Mawasiliano yangu Email. farajanh53@gmail.com
  8. FRJ255

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri na Kamishna wa Elimu wameshindwa kusimamia mwongozo wa likizo? Wanafunzi walazimishwa kusoma wakati wa likizo

    Kuna shule ya Serikari ipo wilaya ya Ubungo wanafunzi wa kidato Cha 4 wanaenda shule kipindi hiki Cha likizo na lazima uende la elfu1 kulipia mtihani na Kila siku
  9. FRJ255

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wa mtu ame “crush” kwangu hadi namuonea huruma.

    Hua Wana shawishi hao
  10. FRJ255

    JamiiForums Tanzania Nina mashaka makubwa na Ubora wa Barabara zinazojengwa Dodoma na Tanzania kwa Ujumla. Kuna harufu kubwa ya Rushwa na Kutojali

    Kama barabara ya Dodoma-Iringa pale tulipigwa parefu sana na barabara nyingi sana Tanzania tumepigwa
  11. FRJ255

    JamiiForums Tanzania Jamani naombeni msaada wenu, mke wangu katapelewi Magufuli stand

    Piga simu LATRA
  12. FRJ255

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kupata uzoefu barabarani

    Asante, nitashukuru sana
  13. FRJ255

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kupata uzoefu barabarani

    Kwa Wadau wa usafirishaji na madereva. Mimi naomba kutembea na mtu kwenye gari hasa magari makubwa ili nipate uzoefu barabarani Nina lessen daraja D. Naishi Kiluvya-Pwani. Nipo tayari kujituma na kufanya kazi atakazo nipa. Mawasiliano yangu Email. farajanh53@gmail.com
  14. FRJ255

    JamiiForums Tanzania Kuwepo na option ya kuweka ujumbe mfupi tunapotuma pesa keenye simu

    Itakua nzuri sana
  15. FRJ255

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuzielewa hospital za Tanzania

    Hospitali nyingi za serikari huduma ni mbovu sana
Back
Top Bottom