Recent content by frizzo

  1. F

    Mwakyembe: Marufuku kumuliza Azory Gwanda alipo. Mbona viongozi wa Serikali hamuwaulizii? Waliokashifiwa na gazeti la Tanzanite waende Mahakamani

    Alivyopewa poison ndo ilikuwa chance ya kuliacha liatangulie......[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
  2. F

    TUJADILI: Hukumu kwa waliochoma Kituo cha Polisi Bunju A

    penal code ya nini post picha ya icho kifungu tutakiona Sent using Jamii Forums mobile app
  3. F

    TUJADILI: Hukumu kwa waliochoma Kituo cha Polisi Bunju A

    amehukum mtoto...... tena kifungo cha maisha Sent using Jamii Forums mobile app
  4. F

    TUJADILI: Hukumu kwa waliochoma Kituo cha Polisi Bunju A

    miaka 14 ni mtoto ata kama ni kinadharia na sio kisheria kama hutaki oa au ozesha mtoto wa miaka tajwa ndo utajua sasa Sent using Jamii Forums mobile app
  5. F

    TUJADILI: Hukumu kwa waliochoma Kituo cha Polisi Bunju A

    kitu ni mali ya taifa walengwa waliamini watatendewa haki pale walipo enda kutafuta haki husiswa kituoni je wajua walipewa msaada gani... polisi walirespond vipi kwa tukio tajwa... as l knw likitokea tatizo tutakimbilia polisi tyuuuuu so kusema kwamba anaweza kuwa hatari kwa taifa naamini huwezi...
  6. F

    Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

    kwani uyo aliyepo amefanya nini nq wewe unataka ufanyiwe nini.... binafsi yangu naitaji utawala bora uliotukuka ili mateso wayapatayo wananchi ibaki stori Sent using Jamii Forums mobile app
  7. F

    Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

    chenga tupu Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
  8. F

    Ma shaa Allah, Bint wa Bill Gates kuolewa na Muislam

    hapo ni fraha kwenu bint kabadili dini kamfata mumewe asa ikitokea bint wa kiislam kamfata mumewe mkristo familia zinawatenga kweli muwamba ngoma uvutia kwake ila waislam mnapaswa jua mwanamke hana dini............. Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
  9. F

    Nimechoka sana na maisha

    haijalishi nini kimekukuta ama ugum upi unaupata katika maisha ila amini bado unanafasi katika jamiii, familia na mbele za muumba wako don give up coz mungu hamtupi mti mwenye dhamira ya kweli Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
  10. F

    Elvis Peter HR Assistant wa Alistair Group (Kurasini) acha roho mbaya

    nakumbuka nilienda DUCe kwenye interviw mwaka jana mwezi wa kumi wakati natoka home niliandaa bahasha mbili moja inavyeti original nyingine copy.... the bad thing nikabeba copy kwa bahati mbaya sikuju, nimekuja kujua nipo kwenye foleni ya kuingia kwenye chumba cha mtihani Mungu wangu ntafanyaje...
Back
Top Bottom