Habarini wana JF.
Nina ndoto za kuishi nje ya nchi, lakini kuna vitu vinanikatisha tamaa.
1.nkimaliza degree yangu ya Dr hapa Tanzania, naweza pata ajira nje ya nchi au laah.?
2.ni vigezo gani niwe navyo ili niweze ajiriwa nje ya nchi.?
3.Ni kweli kwamba ukisoma katika chuo kikuu cha...
Fisheries iliombwa na watu 340.
Chuo kiliitaji watu 50 tu.
Kwa nini nafasi zinabaki na mtu umeomba ukanyimwa then second round unaikuta.
Na nafasi zinakua zaidi ya kumi.
Si kweli #mwaj !!
Interior design chuo kiitaji watu 30.
Walioomba
first priority 9
Second priority 13
Third priority 12.
Fourth priority 11
Fifth priority 8
Jumla watu 53.
Si rahisi kukosa !!
Swali kwa mini kozi aikujaa na imeombwa na watu 53? !!
Wanajamvi Nmefanya application juzi TCU , ila nmekosa chuo.
Nmesoma PCB nna point sita yaani phys D chem B na biol C.
Mpangilio wangu wa vyuo ulikuwa hivi.
1.maabara (muhas)
2.environmental science and management (ardhi)
3.interior design (ardhi)
4.food science (udsm)
5.fisheries (udsm)
Ila cha...
Nimerudi tena kaka zangu, great thinkers.
Nimekiona chuo cha imtu kipindi nafanya application.
Naomba kuuliza hivi kimeshafunguliwa au bado.?
Kwa maana naona watu wamekiomba!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.