Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,052
- 6,702
Tulia we mwanamke... soma post yake vizuri ndo u comment unawahi wap??
Asa kama kuna waliostaili kupata hyo nafasi yake mbona hawakupewa?? Anaikuta tena kwenye systeam??
So yeye tuu imetoke kwa wengi. Kama huna vigezo ukichagua 2nd round coz haiingii. Na pale hamna competition maana coz ikishajaa inatoka.
U got that?
ishia hapo hapo nitulie eeeeh, mmmh watu hawatulizwi kirahisi hivo usione id ukasema jinsia