Nauza simu samsung j7 nyeupe imetumika muda mfupi, utapata charge yake na earphones zake, iko vizuri na utanipatia 400000 tuu...kwa ajili ya picha na maelezo zaidi nipigie 0713 190 118
Ni mpya kabisa, ina kila kitu,pluss secreen protector ya glass,pluss cover.
Ina wallanty miaka miwili na warranty ipo.
Ni 520k, kama upo serious kwa wakaz wa DSM, nicheki kwa
0713 190 118.
Pikipiki ya kampuni ya bajaj boxer bm 150 inauzwa...ilikuwa inatumika kwa matumizi binafsi na si bodaboda...ni 1.5...ina miezi 8 tangu inunuliwe....1.6m...
Aliye tayari ani cheki kwa whatsapp 0713 190 118
Kwa ajiri ya picha....nipo mabibo Dsm..
nimeingia kwenye page ya cocay cola ambapo kiba atakuwa live akijibu maswali... ndio post yenye comments na likes nyingi zaidi ktk page yao....afu wakija huku wanaponda akati wanamfuatilia chochote anachofanya.. nendeni fb mkaone page ya coca cola
yeah niliona movie moja ya kihindi inaitwa barfi.... ni filamu ambayo ilitakiwa ionekane ni ya miaka ya 70 japo ime ektiwa 2012....nilitazama behind the scene... ndo wakawa wanatengeneza mazingira kama hayo... mpaka treni...wakawa wanajenga nyumba.. mavazi... n.k..any one akatafute Barfi kutoka...
hahahaha.... baada ya kuona maji ya moto yameshindwa kuunguza nyumba sasa inabidi tu uwe mole...sasa utafanyaje dua la kuku limeshindwa kumpata kuku... hata mwana mwanzoni kulikuwa na comment za matusi ila walichoka na sasa ukienda kutazama comments za watu wenye akili tu zinasifia.... tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.