Ndugu mwerevu wewe ndiye mpumbavu wa mwisho wa Reli huyu anayemwita mjinga yuko Sahihi. Mwenyekiti wa Halmashauri Ndiyo huyo kwenye Manispaa au Jiji anaitwa Meya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Majuzi niliona video clip ikitembea kwenye social media ikimnukuu Mkuu wa Mkoa wa Manyara Komred Alexander Mnyeti akitoa tamko la kusitisha shughuli ya Umoja wa Watu wa Kilimanjaro katika mkoa wa Manyara.
Baada ya video hiyo kusambaa nikaona jamii ya Wachaga na wafuasi wao wa vyama vya Upinzani...
Sisi Wanaccm moyo kwatuuu.
Watanyooka tu mawakala wa Mabeberu
Naona Mabeberu yametoa masharti bila kushiriki sherehe pesa hawaleti[emoji3][emoji3][emoji3] ccm mbele kwa mbeleeee Magufuli oyeeeeeeee Magufuli safiiiiiii
Nimesikiliza mahojiano ya Makamu mwenyekiti wa Chadema professor Abdallah Safari akiongelea Demokrasia ya vyama vingi hapa nchini na hasa fursa ya vyama vya Upinzani kushika Dola.
Kwanza muelewe Alhaj Professor Abdalah Safari kama alivyo Mh Freeman Mbowe, Professor Ibrahim Lipumba na Mzee...
Nimefuatilia kinachoitwa Press conference ya aliyekuwa Waziri Kiongozi na baadae Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mzee Seif Sharif Hamad iliyofanyika Leo Zanzibar.
Katika hiyo Press conference nimegundua kuwa Mzee Seif Sharif Hamad amepungukiwa hoja Kabisa.
Hoja ya...
Nimeona wachangiaji wa masuala ya Siasa hapa nchini wakichangia kinachoitwa Uchaguzi ndani ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Changamoto kubwa inayowakumba wanasiasa hapa nchini ni kuwa wameingia ktk siasa aidha kwa Ushabiki au lengo ya kusaka madaraka ndani ya vyama ivyo au ndani...
Kumbe lengo la Chama cha Demokrasia na Maendeleo kujitoa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kutaka kuitwa na Serikali wabembelezwe eti Ndiyo warudi wallahi hii imekula kwenu siyo kwa Dr John Pombe Magufuli.
Mkakati huu umeandaliwa na Umoja wa Ulaya kupitia Ubalozi wao hapa nchini.
Mpango...
UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA: WAPINZANI NA PROPAGANDA NYEUSI
Moja ya kitengo muhimu katika vyama vya siasa ni Kitengo cha Propaganda.
Vyama vingi vya kifidhihina (Conservatives) utumia propaganda nyeusi kufikisha ujumbe kwa wafuasi wao ili kuwarubuni wasing'amue ukweli ya mambo yaliyomo ndani...
WALE WANAOLALAMIKA WAMEONEWA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA WAMEZINGATIA HAYA?
1 . Kama majina yake yatatofautiana kati ya majina aliyojaza kwenye fomu na majina aliyojiandikisha kwenye daftari. Angalia kanuni ya 13 (e) Uk. 152
2. Endapo mdhamini hataandika majina matatu na cheo ktk vyama...
Hebu jaribuni wasimamizi wa Uchaguzi wa kumchagua mwenyekiti wenu atoke nje ya chadema tuone kama hamtakatana mapanga kati watu wa Kilimanjaro na mikoa mingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.