jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,842
.....ni kweli ccm huwa inamuelekeza jaji Mutungi nini cha kufanya, sasa baada ya kuona mapandikizi yao yanapigwa chini CDM kwenye chaguzi za kanda amekuja na kauli eti anafuatilia kwa makini yanayoendelea kwenye chaguzi za CDM, hii ni aibu kubwa sana, haiwezekani mtu ukakubali kutumiwa na chama cha siasa sababu tu wanakupa ugali, kama kweli unajiheshimu waachie hiyo ofisi yao, vinginevyo atadharaulika sana na wananchi, haya wanayoyafanya kwa kupitia ofisi ya msajili yalishapitwa na wakati zamani sana.
.....Hivi ccm pamoja na kujiita chama tawala, japo mimi siwaiti hivyo, nyie ni chama dola mko madarakani kwa nguvu ya bunduki, hivi bado tu mnahamu ya kuvionea vyama pinzani ili iweje? muibe madiwani, mnunue wabunge, muwatishie maisha, haya yote kwasababu bado mnaitaka nini hii nchi?, kama sababu ni kutawala, mbona mpo madarakani toka tupate uhuru!...hivi mnajielewa kweli nyie..nadhani kupima akili mara moja moja sio kosa, hebu tuwe na tabia hiyo.
.....Hivi ccm pamoja na kujiita chama tawala, japo mimi siwaiti hivyo, nyie ni chama dola mko madarakani kwa nguvu ya bunduki, hivi bado tu mnahamu ya kuvionea vyama pinzani ili iweje? muibe madiwani, mnunue wabunge, muwatishie maisha, haya yote kwasababu bado mnaitaka nini hii nchi?, kama sababu ni kutawala, mbona mpo madarakani toka tupate uhuru!...hivi mnajielewa kweli nyie..nadhani kupima akili mara moja moja sio kosa, hebu tuwe na tabia hiyo.