Nakumbuka nikiwa chuo nilishawahi kupigika kimaisha wakati huo naishi geto, nikatangaza kuhitaji msaada wa kutafuta mwenzangu wakuishi nae tushee cost nikampata mwamba mbishi kichizi haziivi yani mixer nikatamani nimrudishie chake but sikuwa na maisha wakati ule ikanibidi tu niwe mvumilivu wa...
Usikate tamaa mkuu inategemea ni aina gani ya biashara uliipost si unajua kuna aina ya biashara demand yake ni ndogo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.