Kwako waziri wa maji ndugu mweshimiwa makame mbalawa tunaandika kwa machungu katika umoja wetu wananchi wa maganzo thidi ya hujuma zinazofanywa na viongozi wako uliwapa dhamana ya kusimamia sekta hii kijijini hapa kupitia wizara yako nyeti katika shuhuli za ujenzi wa taifa.
Hivi karibuni...
Kwako waziri wa maji ndugu mweshimiwa makame mbalawa tunaandika kwa machungu katika umoja wetu wananchi wa maganzo thidi ya hujuma zinazofanywa na viongozi wako uliwapa dhamana ya kusimamia sekta hii kijijini hapa kupitia wizara yako nyeti katika shuhuli za ujenzi wa taifa.
Hivi karibuni...
POLISI NA DOLA WANATETEMEKA, KUNA JAMBO WANALIFICHA JUU YA ABDUL NONDO.. HAYA NDIO NILIYOYAGUNDUA JUU YAO.
Na Josephat K. Nyambeya
nyambeya@yahoo.com
Kuna msemo wa lugha ya majahazi unasema "A sunk vessel (damaged) has no rudder. What is predestined is inevitable." Kwa maana ya kwamba chombo...
sikatai mkuu lakini kwenye izo sekta ulizozitaja hapo juuu si yumeshuhudia ndio wapiga deal wakuu walikuepo huko kesi ya panya unampelekea paka unategemea nn
nadani the whole issue hukuelewa namnuku bwana paskali
"mkuu wa kaya anadeal amekataa kwa taasisi za umma kutunza fedha BOT. Hizi fedha...
mkuu umesema vizuri sana lakini wewe mwenyewe unaishia kusema AGELIJENGA MFUMO wakati wewe mwenyewe unasahau upo ndaani ya huu mfumu nikimanisha hivii mfumo ni nn? na mfumo huo unaelewekaje na kuchukuliwaje na hao wanaoudefine? theni ukishajua mfumo ni watu na hao watu ndio mfumo basi hata yeye...
Wadau me nashauri tuangalie hili suala la fixed deposit v fedha za umma kwa jicho la tatu. Sisi vijana tunatumia muda mwingi sana kuumiza kichwa juu ya mmamuzi ya serikali. Ni kwanini kuweka pesa za umma kwenye fixed account? Utaratibu wa serikali unazungumza nini kuhusu fedha za umma?. Binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.