Mbona chanjo nyingine Kama surua, pepopunda, polio, zimetoka kwa mabeberu na hatujafa na hata dawa nyingine, mabeberu wakiamua kutuua ni sekunde hawashindwi tuache kupishana na ukweli
Siyo kweli kwa sasa wakinga wapo juu kibiashara kuliko wachaga, nenda kariakoo kawafananishe wakinga na wachaga utaona mchaga kafeli, wakinga kwa sasa wapo vizuri kwa Elimu na biashara
Kujifukiza sio ushirikina, kumbukeni hata dawa za viwandani zatoka kwenye mimea,wanyama,wadudu, lakini hata mababu zetu walizitumia, tuache kudharau jadi
Sent using Jamii Forums mobile app
Viazi miringo vinauzwa vipo mufindi karibu na mafinga,vitaanza kuchimbwa baada ya wiki mbili au tatu kutoka sasa mwezi huu februali, kwa mawasiliano piga simu 0755049741, bei ni maelewano, karibu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.