Kuwafananisha Wachaga na Wakinga ni dalili ya kuchelewa kuijua Dunia

Kwenye madini mchagga hatumuoni. Ni ngosha kwa kwenda mbele. Njoo kwenye uvuvi mchagga hayupo leo anatuambia eti yuko kila mahali. Sasa wachagga wamebanwa mpaka hoteli kubwa ngurudoto zinageuzwa hosteli. Kwadanganye wachagga wenzio.
Fursa ya uvuvi kama hukuzaliwa kando ya bahari, ziwa, bwawa, mito mikubwa kama Ruvu,Rufiji, kilombero, Malagarasi, Ruvuma, Kagera. Mchaga na maji ni mbingu na ardhi na pombe zao zile watafia majini. Wachaga walitangulia ila makabila mengine yana catch up.Sukuma ndio kabila litakalotawala miongo ijayo kwa wingi wao, hasa katika sekta za elimu.

Katika kilimo Sukuma ndio konki kwa hiii nchi.Nakumbuka miaka ya 90+ Pale NMC SHY walikuwa wanakosa eneo la kutunza mazao mpaka wanapeleka uwnja wa kambarage.Zile zama sitazisahau, laana ya msukuma ni kuharibu mazingira hata hivyo msukuma kahamia kila eneo lenye fursa ya kilimo hapa TZ.
 
Kwema wadau!

Nianze kwa kusema nchi hii hatuendekezi Ukabila, hatuupendi, na hatuutaki. Hivyo mada zinazogusa Ukabila isichukuliwe kwamba ni uhamasishaji wa hisia za chuki za kikabila ndani ya Jamii. Kiasili mimi ni Mnyamwezi wa Urambo lakini nimeishi na kukulia Kilimanjaro. Ninadamu ya Kinyamwezi, Kisukuma, Kihaya na kichaga.

Kabila la Wachaga ni moja ya makabila makubwa hapa nchini hasa katika ishu za biashara, Kufananisha Wachaga na vikabila vidogo ni dalili ya kutokuwa na exposure ya kitaifa na kimataifa.

Kumlinganisha Mchaga na Mkinga ni dalili ya wendawazimu. Ni dalili ya mtu ambaye hafuatilii mambo au akii yake iko limited.
Huwezi mfananisha Mchaga na Muha, sijui mpemba, au makabila yeye tabia ya kuji-limit.

Nimeishi na wachaga, ninawafahamu vyema kabisa. Ni kabila ambalo kwa hapa nchini ndilo linaongoza kwa watu wajanja na wenye akili kupitiliza, na ndilo kabila hilo hilo linaloongoza kwa watu mandezi na wapumbavu waliopitiliza.

Kama unataka watu wajinga waliopitiliza ndani ya nchi yetu basi nenda uchagani, utakutana na vijana walevi walioshindikana wasio na mbele wala nyuma, Kuanzia Tarakea, Holili, Rombo, Mwika, Marangu, Uru, Kibosho, Uru, Machame, Sanya juu, n.k kila sehemu kuna walevi hasa ambao maisha yao yanakatisha tamaa. Yaani wajinga sana, muda wote ni pombe tuu na ukiingalia miaka yao ni chini ya miaka thelasini yaani vijana kabisa.

Lakini hilo lisije kukufanya ukafikiri wachaga wote wako hivyo, :D :D Yaani utakuwa umekosea Mno. Lipo kundi la pili la wachaga, hawa ndio kiboko, yaani ni wajanja kupitiliza, wanaakili na maarifa ya kila namna, Kwa ujumla wachaga hawako Limited na hio ndio sifa ya jamii yenye nguvu.

Jamii yenye nguvu haipaswi kuwa limited yaani kuwa na mipaka. Wachaga ukiwataka wajinga wapo, mashoga wapo, malaya wapo, majambazi wapo, walevi wapo, wachawi na washirikina wapo, na sifa zote mbaya uzijuazo, na sio kwa level ya chini yaani kimkoa hapana, ni level ya kitaifa.

Wachaga ukiwataka wasomi wa aina yoyote uijuayo wapo, wafanyabiashara za aina zote wapo, wakulima wapo, wamiliki makampuni wapo, wamiliki makanisa wapo, madalali wapo, Mashekhe na maparoko wapo, wanasiasa wakubwa wapo, wadangaji wakubwa wapo, wamiliki wa vyombo vikubwa vya habari wapo, wamiliki makampuni ya ndege wapo, wamiliki makampuni ya vipuri vya magari kama Saba General wapo, Ombaomba wapo, wamiliki mahospitali makubwa wapo, wamiliki mashule makubwa wapo, wana muziki wakubwa wapo, waigizaji wakubwa wapo,

Kiufupi wachaga hawapo Limited yaani hawana mipaka. Na hiyo ndio siri yao kubwa, yaani wao kila fursa wanaitaka.

Sio kama makabila mengine ambayo wao wameji-limit kwa jambo fulani au mambo mawili tu. Mfano, Wanyakyusaa, wao ni mashuhuri kwa nyimbo za injili, makanisa ya upako, kilimo cha Mpunga na elimu. Mambo matatu

Wakinga wao ni mashuhuri kwa Biashara tena sio kitaifa bali kikanda, yaani Iringa, Mbeya, na Dar es salaam, pia ni wakulima wa viazi, na mbao, na uchawi mambo matatu tu. Waha wao ni mashuhuri kwa biashara ndogo ndogo za kikanda sio nchi nzima katika maeneo ya Morogoro, Dar, Kahama, Kigoma na maeneo ya kanda ya ziwa, uganga na uchawi. na sanaa za uimbaji Mambo matatu tuu.
Wapemba, ni mashuhuri kwa Biashaara za kikanda na uchawi mambo mawili tu ya uparoko, askofu na uchungaji, kilimo cha ndizi, mambo manne tu.

Wasukuma, Ufugaji wa ng'ombe, Kilimo na biashara kidogo(awamu hii ndio wameanza), na uchawi, mambo matatu tu.

Nani kabaki? Kabila gani wamebaki?

Yaani ukiondoa wahindi na waarabu na jamii za nchi ya nje anayebaki hapa nchini kwetu ni mchaga.

Sisi makabila mengine tujifunze kupanua huduma zetu na shughuli zetu, tusiwe kama wakurya au wazaramo, ati kwa Vile Babu mwanajeshi basi ukoo mzima unataka kuwa wanajeshi, Sisi makabila mengine tuache ulimbukeni, ati kwa vile Baba ni daktari basi na matoto yote yanataka kuwa madaktari au mainjinia.

Huko kwa Wahaya kwa vile Baba ni Profesa basi atataka kila mtoto wake awe Profesa tuache uzwazwa.

Wachaga wamejitawanya asee, utashangaa familia au ukoo mmoja kuna watoto wanasheria, madaktari, madalali, wafanyabiashara, waalimu, na askari. Na ndio maana kwenye hii nchi hakuna sekta ambayo hutakosa mchaga, hakuna na haitakuwepo.

Nenda Zanzibar utamkuta mchaga
Nenda Nairobi utamkuta mchaga
Nenda Cape Town, Afrika kusini utamkuta mchaga,
Nenda Marekani, utamkuta mchaga,
Nenda ulaya utamkuta mchaga
Nenda Asia, utamkuta mchaga,
Nenda Freemason utawakuta wachaga

Nenda hata kwenye biashara ya mbao utamkuta mchaga
Nenda kwenye Biashara ya madini utamkuta mchaga
Nenda Jela utamkuta mchaga.

Wachaga ni Unlimited, hawana mipaka.

Sio sisi waluguru, mtoto akitaka tuu kwenda hapo Mwanza kikao cha ukoo kitakaa ati kujadili, mnajadili nini sasa, yaani ati wanahofia usalama wa mtoto wao, na hawa ndugu zangu Wazaramo, ni rahisi kumkuta shetani peponi kuliko kumkuta Mzaramo ati yupo mwanza anatafuta maisha.

Makabila mengine tunaule mtazamo kuwa maisha ni Dar pekeake, watu walioko mikoani hasa vijana ndoto yao kubwa ni kwenda kutafuta maisha, hii ni tofauti ni Wachaga(sio wote ila wengi wao) wanajua kuwa maisha ni popote, wanawaza kwenda nchi za nje, au mkoa wowote hapa Tanzania.

Wachaga kuwashinda ni ngumu japo inawezekana kama makabila mengine hatutaji-limit katika shughui za utafutaj mali.

Siku hizi wachaga wamevamia fani zifuatazo;
Udalalali
Uganga na uchawi
Kuuza mitishamba ya nguvu za kiume
Manabii nafikiri hapa wanataka kuchuana na Wanyakyusa
Uprojuza wa miziki
Umario kwa vijana
Udangaji kwa kinadada
Biashara za hatari

Kingine, wachaga wengi wao hasa kina dada wanapata airtime na upendeleo kwa kujipitisha pitisha na kwa watu wenye pesa na wakubwa, mathalani, viongozi wakubwa hapa nchini karibia nusu yao wameoa wachaga, yaani vichaga ni vimutu vya kujichomeka chomeka tuu bila kujali matokeo.

Kingine wachaga walichojitengenezea ni kasumba ya kuogopwa, yaani vijana wa makabila mengine huogopa kuwaoa mabinti wa kichaga kwa kuhofia kuwa wanapenda hela na watatozwa mahari kubwa, hii inapelekea vijana wengi wakipata pesa ndio wanaenda kuoa upande wa uchagani hii inafanya jamii ya kichaga kunufaika indirect kwa watoto wao kuolewa na watu wenye uwezo(japo sio wote).

Hii ni tofauti na sisi wa makabila mengine, kwanza tuna ile kasumba kuwa mtoto akiolewa akitolewa mahari sio kama unamuuza hivyo mahari tunaiweka ndogo au tuwatoe binti zetu sawa na bure. Hili jambo linapelekea dada zetu kuzidi kuolewa na vimtu vimasikini visivyo na mbele wala nyuma.

Kingine wanawake wa kichaga pia wanatabia ya kuleta fujo kwa mume wake hasa wa makabila mengine ikiwa atakuona huna mbele wala nyuma, kisha anakunyang'anya watoto na anawalea yeye mwenyewe kwa msaada wa ndugu zake wenye uwezo, wale watoto wakisoma na kufanikiwa ni mara chache sana kutukumbuka sisi baba wengine wa makabila ya nje.

Pia Wakwe wa kichaga ni rahisi kukunyanyasa kama huna muelekeo na hata ukisusa mke na watoto kwao sio shida wanawachukua watoto na mkeo anaweza kuolewa na mwingine au kubaki single mother.

Kunyang'anywa watoto ni kumalizwa nguvu hasa za uzeeni, kwani watoto wata-base zaidi upande wa kiukeni kuliko kwetu wanaume.

Hii ni tofauti na sisi wa makabila mengine, yaani unakuta dada zetu wanang'ang'ania mume hana mbele wala nyuma bado anampiga au ni mlevi kupitiliza na wazazi nao wanamshinikiza mtoto wako avumilie ndoa, pengine ni kwa sababu ya umasikini.

Wachaga kuwafananisha na Wakinga, au waha, au wapemba au kabila lolote ni dalili ya kutowajua vizuri na kutotembea ndani na nje ya nchi.

Mwisho; Sisi wote ni Watanzania, ukitaka kuwa mchaga unaruhusiwa, ukitaka kuwa Mhaya unaruhusiwa, ukitaka kuwa mkinga unaruhusiwa, unaruhusiwa kuoa yeyote ndani ya nchi hii. Usiumie ukiona kabila jingine linasifiwa.

Nawasilisha
Hii ni kampuni ya Mkinga huko China. Wachaga acheni kujidai Sana akati kuna watu kama hawa
Screenshot_2020-12-22-20-58-11-55.jpg
Screenshot_2020-12-22-20-58-07-63.jpg
 
Siyo kweli kwa sasa wakinga wapo juu kibiashara kuliko wachaga, nenda kariakoo kawafananishe wakinga na wachaga utaona mchaga kafeli, wakinga kwa sasa wapo vizuri kwa Elimu na biashara
 
Hawajatembea wapi?

Matajiri wa nchi hii tunawajua wachaga, sasa wewe sijui umetembea wapi huko wasipowajua hao jamaa

Wachaga wanaongoza Karibu kila biashara kubwa uijuayo...
Mimi nimetembea karibia mikoa yote ya Tz, Wakinga
Kwema wadau!

Nianze kwa kusema nchi hii hatuendekezi Ukabila, hatuupendi, na hatuutaki. Hivyo mada zinazogusa Ukabila isichukuliwe kwamba ni uhamasishaji wa hisia za chuki za kikabila ndani ya Jamii. Kiasili mimi ni Mnyamwezi wa Urambo lakini nimeishi na kukulia Kilimanjaro. Ninadamu ya Kinyamwezi, Kisukuma, Kihaya na kichaga...
Kwanza ni makosa kufananisha Wachaga(Muunganiko wa kabila la Wamarangu,Warombo,Wamachame,Wakibosho nk) na Wakinga,Unawezaje kufananisha Muunganiko wa makabila na kabila moja tu? nimekaa maeneo mengi ya Uchagani lile sio kabila moja bali ni makabila kadhaa yanayozunguka mlima Kilimanjaro hata Lugha wanazoongea ni tofauti.

Tukirudi kwenye mada,hakuna kabila lolote Tz hii linaloweza kushindana na Wakinga kwenye biashara kuanzia maduka ya jumla mpaka rejareja,Mahotel makubwa mpaka guest house, Usafirishaji wa barabarani,biashara ya Mbao,nk,..wale jamaa wapo mbali sana kwa sasa,kwa kiasi kikubwa wameshikilia uchumi wa nchi baada ya Wahindi na Waarabu. Baada ya Wakinga,ndipo wanafuata Wamachame,Warombo, Wabena, Wahaya, Wanyakyusa, WaSukuma,Wapare,Sambaa nk.
 
Sasa wewe jamaa mbona unajinasibu kwenye uzi wako wa leo ambao umeenda kumtolea mahari nduguyo ukidai wewe ni mchaga.

Hii jf bhana ni vile tu hatuonani bhasi mtu anakaaa nyuma ya keyboard na kuanza kuandika kile anachojisikia
 
Mimi nimetembea karibia mikoa yote ya Tz, Wakinga

Kwanza ni makosa kufananisha Wachaga(Muunganiko wa kabila la Wamarangu,Warombo,Wamachame,Wakibosho nk) na Wakinga,Unawezaje kufananisha Muunganiko wa makabila na kabila moja tu? nimekaa maeneo mengi ya Uchagani lile sio kabila moja bali ni makabila kadhaa yanayozunguka mlima Kilimanjaro hata Lugha wanazoongea ni tofauti. Tukirudi kwenye mada,hakuna kabila lolote Tz hii linaloweza kushindana na Wakinga kwenye biashara kuanzia maduka ya jumla mpaka rejareja,Mahotel makubwa mpaka guest house,Usafirishaji wa barabarani,biashara ya Mbao,nk,..wale jamaa wapo mbali sana kwa sasa,kwa kiasi kikubwa wameshikilia uchumi wa nchi baada ya Wahindi na Waarabu. Baada ya Wakinga,ndipo wanafuata Wamachame,Warombo, Wabena,Wahaya,Wanyakyusa,WaSukuma,Wapare,Sambaa nk.
Hizi ni pumba umeeendika

Kutofautiana katika kichaga kinachozungumzwa na wamarangu au warombo haimaaanishi kwamba kabila la kichaga ni muuunganiko wa makabila mengi kama unavyozungumza wewe

Wewe Mwenyewe sio mchaga sasa inakuaje utoe description ya kabila ambalo sio lako
 
Hv bakhresa na mo ni kabila gani..??

Nikiendaga kkoo wengi wafanyabiashara naonaga ni wachina,wahindi,wapemba na makabila mengne na wengne wachuuzi tu...hzo kabila mnazo ziongelea zpo wapi.

Hvi kabila linahusiana vipi na biashara pamoja na mafanikio ya mtu.....?

Fursa yoyote inahitajia ushirikiano,channels/connection,umakini na kujituma...
nitakupinga kwa fact moja tuuu: angalia waarab
 
unaongea Mada za chuki na huna facts leo hii watu wa njombe wabena na wakinga Wana pesa na shule wapo wengi tu vizur changamoto yao huwezi kujua mambo yao ni kwa kuwa huendesha maisha kwa siri sana hasa mambo yao. History ni wafanyabiashara wazur tokea zamani na hawana ujanja ujanja wa kifala. Hebu tuweke ligi tu Sasa hiv ndiyo makabila yenye nguvu kiuchumi.
Nimekaa na hawa jamaa wa nyanda za juuu kusini hawana biashara za udhulumati na janja kama wenzao.

Wachagga zulumati na janja SANA.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Kumbuka uarabu sio kabila ni kama uswahili tu...

Mimi ninachopinga hzo fikra za ukabila dhidi ya mafanikio ya kibiashara
unachosema ni sawa ila kwa hapa Tza uarabu ni jamiii anagalia jinsi wanavyotusua just kwa kuwa wao ni waarabu ....ukiingia ktk makampuni yao ndo utajua jinsi wanavyosaidiana kutusua
 
unachosema ni sawa ila kwa hapa Tza uarabu ni jamiii anagalia jinsi wanavyotusua just kwa kuwa wao ni waarabu ....ukiingia ktk makampuni yao ndo utajua jinsi wanavyosaidiana kutusua
Naam nandoma ni kasema kutusua ni ushirikiano na connection + uaminifu na kujituma...

Hao waarabu hivi vitu wanavyo na wanafundishwa tangu utotoni.

So ata mimi na wewe tukiwajenga hivi watoto wetu,mmoja akija fanikiwa ni sawa na wote kufanikisha.
 
Kwema wadau!

Nianze kwa kusema nchi hii hatuendekezi Ukabila, hatuupendi, na hatuutaki. Hivyo mada zinazogusa Ukabila isichukuliwe kwamba ni uhamasishaji wa hisia za chuki za kikabila ndani ya Jamii. Kiasili mimi ni Mnyamwezi wa Urambo lakini nimeishi na kukulia Kilimanjaro. Ninadamu ya Kinyamwezi, Kisukuma, Kihaya na kichaga.

Kabila la Wachaga ni moja ya makabila makubwa hapa nchini hasa katika ishu za biashara, Kufananisha Wachaga na vikabila vidogo ni dalili ya kutokuwa na exposure ya kitaifa na kimataifa.

Kumlinganisha Mchaga na Mkinga ni dalili ya wendawazimu. Ni dalili ya mtu ambaye hafuatilii mambo au akii yake iko limited.
Huwezi mfananisha Mchaga na Muha, sijui mpemba, au makabila yeye tabia ya kuji-limit.

Nimeishi na wachaga, ninawafahamu vyema kabisa. Ni kabila ambalo kwa hapa nchini ndilo linaongoza kwa watu wajanja na wenye akili kupitiliza, na ndilo kabila hilo hilo linaloongoza kwa watu mandezi na wapumbavu waliopitiliza.

Kama unataka watu wajinga waliopitiliza ndani ya nchi yetu basi nenda uchagani, utakutana na vijana walevi walioshindikana wasio na mbele wala nyuma, Kuanzia Tarakea, Holili, Rombo, Mwika, Marangu, Uru, Kibosho, Uru, Machame, Sanya juu, n.k kila sehemu kuna walevi hasa ambao maisha yao yanakatisha tamaa. Yaani wajinga sana, muda wote ni pombe tuu na ukiingalia miaka yao ni chini ya miaka thelasini yaani vijana kabisa.

Lakini hilo lisije kukufanya ukafikiri wachaga wote wako hivyo, :D :D Yaani utakuwa umekosea Mno. Lipo kundi la pili la wachaga, hawa ndio kiboko, yaani ni wajanja kupitiliza, wanaakili na maarifa ya kila namna, Kwa ujumla wachaga hawako Limited na hio ndio sifa ya jamii yenye nguvu.

Jamii yenye nguvu haipaswi kuwa limited yaani kuwa na mipaka. Wachaga ukiwataka wajinga wapo, mashoga wapo, malaya wapo, majambazi wapo, walevi wapo, wachawi na washirikina wapo, na sifa zote mbaya uzijuazo, na sio kwa level ya chini yaani kimkoa hapana, ni level ya kitaifa.

Wachaga ukiwataka wasomi wa aina yoyote uijuayo wapo, wafanyabiashara za aina zote wapo, wakulima wapo, wamiliki makampuni wapo, wamiliki makanisa wapo, madalali wapo, Mashekhe na maparoko wapo, wanasiasa wakubwa wapo, wadangaji wakubwa wapo, wamiliki wa vyombo vikubwa vya habari wapo, wamiliki makampuni ya ndege wapo, wamiliki makampuni ya vipuri vya magari kama Saba General wapo, Ombaomba wapo, wamiliki mahospitali makubwa wapo, wamiliki mashule makubwa wapo, wana muziki wakubwa wapo, waigizaji wakubwa wapo,

Kiufupi wachaga hawapo Limited yaani hawana mipaka. Na hiyo ndio siri yao kubwa, yaani wao kila fursa wanaitaka.

Sio kama makabila mengine ambayo wao wameji-limit kwa jambo fulani au mambo mawili tu. Mfano, Wanyakyusaa, wao ni mashuhuri kwa nyimbo za injili, makanisa ya upako, kilimo cha Mpunga na elimu. Mambo matatu

Wakinga wao ni mashuhuri kwa Biashara tena sio kitaifa bali kikanda, yaani Iringa, Mbeya, na Dar es salaam, pia ni wakulima wa viazi, na mbao, na uchawi mambo matatu tu. Waha wao ni mashuhuri kwa biashara ndogo ndogo za kikanda sio nchi nzima katika maeneo ya Morogoro, Dar, Kahama, Kigoma na maeneo ya kanda ya ziwa, uganga na uchawi. na sanaa za uimbaji Mambo matatu tuu.
Wapemba, ni mashuhuri kwa Biashaara za kikanda na uchawi mambo mawili tu ya uparoko, askofu na uchungaji, kilimo cha ndizi, mambo manne tu.

Wasukuma, Ufugaji wa ng'ombe, Kilimo na biashara kidogo(awamu hii ndio wameanza), na uchawi, mambo matatu tu.

Nani kabaki? Kabila gani wamebaki?

Yaani ukiondoa wahindi na waarabu na jamii za nchi ya nje anayebaki hapa nchini kwetu ni mchaga.

Sisi makabila mengine tujifunze kupanua huduma zetu na shughuli zetu, tusiwe kama wakurya au wazaramo, ati kwa Vile Babu mwanajeshi basi ukoo mzima unataka kuwa wanajeshi, Sisi makabila mengine tuache ulimbukeni, ati kwa vile Baba ni daktari basi na matoto yote yanataka kuwa madaktari au mainjinia.

Huko kwa Wahaya kwa vile Baba ni Profesa basi atataka kila mtoto wake awe Profesa tuache uzwazwa.

Wachaga wamejitawanya asee, utashangaa familia au ukoo mmoja kuna watoto wanasheria, madaktari, madalali, wafanyabiashara, waalimu, na askari. Na ndio maana kwenye hii nchi hakuna sekta ambayo hutakosa mchaga, hakuna na haitakuwepo.

Nenda Zanzibar utamkuta mchaga
Nenda Nairobi utamkuta mchaga
Nenda Cape Town, Afrika kusini utamkuta mchaga,
Nenda Marekani, utamkuta mchaga,
Nenda ulaya utamkuta mchaga
Nenda Asia, utamkuta mchaga,
Nenda Freemason utawakuta wachaga

Nenda hata kwenye biashara ya mbao utamkuta mchaga
Nenda kwenye Biashara ya madini utamkuta mchaga
Nenda Jela utamkuta mchaga.

Wachaga ni Unlimited, hawana mipaka.

Sio sisi waluguru, mtoto akitaka tuu kwenda hapo Mwanza kikao cha ukoo kitakaa ati kujadili, mnajadili nini sasa, yaani ati wanahofia usalama wa mtoto wao, na hawa ndugu zangu Wazaramo, ni rahisi kumkuta shetani peponi kuliko kumkuta Mzaramo ati yupo mwanza anatafuta maisha.

Makabila mengine tunaule mtazamo kuwa maisha ni Dar pekeake, watu walioko mikoani hasa vijana ndoto yao kubwa ni kwenda kutafuta maisha, hii ni tofauti ni Wachaga(sio wote ila wengi wao) wanajua kuwa maisha ni popote, wanawaza kwenda nchi za nje, au mkoa wowote hapa Tanzania.

Wachaga kuwashinda ni ngumu japo inawezekana kama makabila mengine hatutaji-limit katika shughui za utafutaj mali.

Siku hizi wachaga wamevamia fani zifuatazo;
Udalalali
Uganga na uchawi
Kuuza mitishamba ya nguvu za kiume
Manabii nafikiri hapa wanataka kuchuana na Wanyakyusa
Uprojuza wa miziki
Umario kwa vijana
Udangaji kwa kinadada
Biashara za hatari

Kingine, wachaga wengi wao hasa kina dada wanapata airtime na upendeleo kwa kujipitisha pitisha na kwa watu wenye pesa na wakubwa, mathalani, viongozi wakubwa hapa nchini karibia nusu yao wameoa wachaga, yaani vichaga ni vimutu vya kujichomeka chomeka tuu bila kujali matokeo.

Kingine wachaga walichojitengenezea ni kasumba ya kuogopwa, yaani vijana wa makabila mengine huogopa kuwaoa mabinti wa kichaga kwa kuhofia kuwa wanapenda hela na watatozwa mahari kubwa, hii inapelekea vijana wengi wakipata pesa ndio wanaenda kuoa upande wa uchagani hii inafanya jamii ya kichaga kunufaika indirect kwa watoto wao kuolewa na watu wenye uwezo(japo sio wote).

Hii ni tofauti na sisi wa makabila mengine, kwanza tuna ile kasumba kuwa mtoto akiolewa akitolewa mahari sio kama unamuuza hivyo mahari tunaiweka ndogo au tuwatoe binti zetu sawa na bure. Hili jambo linapelekea dada zetu kuzidi kuolewa na vimtu vimasikini visivyo na mbele wala nyuma.

Kingine wanawake wa kichaga pia wanatabia ya kuleta fujo kwa mume wake hasa wa makabila mengine ikiwa atakuona huna mbele wala nyuma, kisha anakunyang'anya watoto na anawalea yeye mwenyewe kwa msaada wa ndugu zake wenye uwezo, wale watoto wakisoma na kufanikiwa ni mara chache sana kutukumbuka sisi baba wengine wa makabila ya nje.

Pia Wakwe wa kichaga ni rahisi kukunyanyasa kama huna muelekeo na hata ukisusa mke na watoto kwao sio shida wanawachukua watoto na mkeo anaweza kuolewa na mwingine au kubaki single mother.

Kunyang'anywa watoto ni kumalizwa nguvu hasa za uzeeni, kwani watoto wata-base zaidi upande wa kiukeni kuliko kwetu wanaume.

Hii ni tofauti na sisi wa makabila mengine, yaani unakuta dada zetu wanang'ang'ania mume hana mbele wala nyuma bado anampiga au ni mlevi kupitiliza na wazazi nao wanamshinikiza mtoto wako avumilie ndoa, pengine ni kwa sababu ya umasikini.

Wachaga kuwafananisha na Wakinga, au waha, au wapemba au kabila lolote ni dalili ya kutowajua vizuri na kutotembea ndani na nje ya nchi.

Mwisho; Sisi wote ni Watanzania, ukitaka kuwa mchaga unaruhusiwa, ukitaka kuwa Mhaya unaruhusiwa, ukitaka kuwa mkinga unaruhusiwa, unaruhusiwa kuoa yeyote ndani ya nchi hii. Usiumie ukiona kabila jingine linasifiwa.

Nawasilisha
ahsante kwa bandiko zuri hakika nimetoka na kitu hapa.
 
kuna jambo la kustukiza sana katika miaka ya hivi karibuni kuanzia 2010, kuna hawa jamaa wanaitwa wakinga wamejipatia umaarufu ndani ya miaka hii michache kwa spidi ya 4g

Ni kabila dogo sana ambalo halifiki hata watu laki 2 lakini ni moto wa kuotea mbali kwenye biashara kwakweli, siongei maneno matupu maana nayashuhudia kwa macho yangu.

Hata mchagga ambae aliiteka kariakoo leo hii kapinduliwa na hawa wakinga, leo hii ukienda pale kariakoo ni ya wakinga, kiukweli inastua.


Kwa mimi binafsi nikiwa chuoni, kuna mkinga flani alimaliza form 4 akaja kuanza certificate, nilioata kumjua, yule dogo hata hakumaliza certificate alianza kuuza mitumba ya nguo ila leo hii ana duka lake la simu hajafika hata miaka 25.

Kuna mwengine alipata ajira, analipwa vizuri tu kama 1.3 M take home na allowances kibao, ila alikaa kazini mwaka moja tu, aliacha hio kazi watu walimshangaa sana akafungua biashara yake, hatua aliyofikia kwa sasa inavutia kwa kweli,

Nafkiri kuna namna tunaweza jifunza kupitia hili kundi,

Kumekua na fununu za ndumba na uchawi ila kwa bidii nayoona waliyo nayo unaona kabisa the juice is worth the squeeze, kama unahisi ni ndumba basi na wewe karoge,!!
 
Kwema wadau!

Nianze kwa kusema nchi hii hatuendekezi Ukabila, hatuupendi, na hatuutaki. Hivyo mada zinazogusa Ukabila isichukuliwe kwamba ni uhamasishaji wa hisia za chuki za kikabila ndani ya Jamii. Kiasili mimi ni Mnyamwezi wa Urambo lakini nimeishi na kukulia Kilimanjaro. Ninadamu ya Kinyamwezi, Kisukuma, Kihaya na kichaga.

Kabila la Wachaga ni moja ya makabila makubwa hapa nchini hasa katika ishu za biashara, Kufananisha Wachaga na vikabila vidogo ni dalili ya kutokuwa na exposure ya kitaifa na kimataifa.

Kumlinganisha Mchaga na Mkinga ni dalili ya wendawazimu. Ni dalili ya mtu ambaye hafuatilii mambo au akii yake iko limited.
Huwezi mfananisha Mchaga na Muha, sijui mpemba, au makabila yeye tabia ya kuji-limit.

Nimeishi na wachaga, ninawafahamu vyema kabisa. Ni kabila ambalo kwa hapa nchini ndilo linaongoza kwa watu wajanja na wenye akili kupitiliza, na ndilo kabila hilo hilo linaloongoza kwa watu mandezi na wapumbavu waliopitiliza.

Kama unataka watu wajinga waliopitiliza ndani ya nchi yetu basi nenda uchagani, utakutana na vijana walevi walioshindikana wasio na mbele wala nyuma, Kuanzia Tarakea, Holili, Rombo, Mwika, Marangu, Uru, Kibosho, Uru, Machame, Sanya juu, n.k kila sehemu kuna walevi hasa ambao maisha yao yanakatisha tamaa. Yaani wajinga sana, muda wote ni pombe tuu na ukiingalia miaka yao ni chini ya miaka thelasini yaani vijana kabisa.

Lakini hilo lisije kukufanya ukafikiri wachaga wote wako hivyo, :D :D Yaani utakuwa umekosea Mno. Lipo kundi la pili la wachaga, hawa ndio kiboko, yaani ni wajanja kupitiliza, wanaakili na maarifa ya kila namna, Kwa ujumla wachaga hawako Limited na hio ndio sifa ya jamii yenye nguvu.

Jamii yenye nguvu haipaswi kuwa limited yaani kuwa na mipaka. Wachaga ukiwataka wajinga wapo, mashoga wapo, malaya wapo, majambazi wapo, walevi wapo, wachawi na washirikina wapo, na sifa zote mbaya uzijuazo, na sio kwa level ya chini yaani kimkoa hapana, ni level ya kitaifa.

Wachaga ukiwataka wasomi wa aina yoyote uijuayo wapo, wafanyabiashara za aina zote wapo, wakulima wapo, wamiliki makampuni wapo, wamiliki makanisa wapo, madalali wapo, Mashekhe na maparoko wapo, wanasiasa wakubwa wapo, wadangaji wakubwa wapo, wamiliki wa vyombo vikubwa vya habari wapo, wamiliki makampuni ya ndege wapo, wamiliki makampuni ya vipuri vya magari kama Saba General wapo, Ombaomba wapo, wamiliki mahospitali makubwa wapo, wamiliki mashule makubwa wapo, wana muziki wakubwa wapo, waigizaji wakubwa wapo,

Kiufupi wachaga hawapo Limited yaani hawana mipaka. Na hiyo ndio siri yao kubwa, yaani wao kila fursa wanaitaka.

Sio kama makabila mengine ambayo wao wameji-limit kwa jambo fulani au mambo mawili tu. Mfano, Wanyakyusaa, wao ni mashuhuri kwa nyimbo za injili, makanisa ya upako, kilimo cha Mpunga na elimu. Mambo matatu

Wakinga wao ni mashuhuri kwa Biashara tena sio kitaifa bali kikanda, yaani Iringa, Mbeya, na Dar es salaam, pia ni wakulima wa viazi, na mbao, na uchawi mambo matatu tu. Waha wao ni mashuhuri kwa biashara ndogo ndogo za kikanda sio nchi nzima katika maeneo ya Morogoro, Dar, Kahama, Kigoma na maeneo ya kanda ya ziwa, uganga na uchawi. na sanaa za uimbaji Mambo matatu tuu.
Wapemba, ni mashuhuri kwa Biashaara za kikanda na uchawi mambo mawili tu ya uparoko, askofu na uchungaji, kilimo cha ndizi, mambo manne tu.

Wasukuma, Ufugaji wa ng'ombe, Kilimo na biashara kidogo(awamu hii ndio wameanza), na uchawi, mambo matatu tu.

Nani kabaki? Kabila gani wamebaki?

Yaani ukiondoa wahindi na waarabu na jamii za nchi ya nje anayebaki hapa nchini kwetu ni mchaga.

Sisi makabila mengine tujifunze kupanua huduma zetu na shughuli zetu, tusiwe kama wakurya au wazaramo, ati kwa Vile Babu mwanajeshi basi ukoo mzima unataka kuwa wanajeshi, Sisi makabila mengine tuache ulimbukeni, ati kwa vile Baba ni daktari basi na matoto yote yanataka kuwa madaktari au mainjinia.

Huko kwa Wahaya kwa vile Baba ni Profesa basi atataka kila mtoto wake awe Profesa tuache uzwazwa.

Wachaga wamejitawanya asee, utashangaa familia au ukoo mmoja kuna watoto wanasheria, madaktari, madalali, wafanyabiashara, waalimu, na askari. Na ndio maana kwenye hii nchi hakuna sekta ambayo hutakosa mchaga, hakuna na haitakuwepo.

Nenda Zanzibar utamkuta mchaga
Nenda Nairobi utamkuta mchaga
Nenda Cape Town, Afrika kusini utamkuta mchaga,
Nenda Marekani, utamkuta mchaga,
Nenda ulaya utamkuta mchaga
Nenda Asia, utamkuta mchaga,
Nenda Freemason utawakuta wachaga

Nenda hata kwenye biashara ya mbao utamkuta mchaga
Nenda kwenye Biashara ya madini utamkuta mchaga
Nenda Jela utamkuta mchaga.

Wachaga ni Unlimited, hawana mipaka.

Sio sisi waluguru, mtoto akitaka tuu kwenda hapo Mwanza kikao cha ukoo kitakaa ati kujadili, mnajadili nini sasa, yaani ati wanahofia usalama wa mtoto wao, na hawa ndugu zangu Wazaramo, ni rahisi kumkuta shetani peponi kuliko kumkuta Mzaramo ati yupo mwanza anatafuta maisha.

Makabila mengine tunaule mtazamo kuwa maisha ni Dar pekeake, watu walioko mikoani hasa vijana ndoto yao kubwa ni kwenda kutafuta maisha, hii ni tofauti ni Wachaga(sio wote ila wengi wao) wanajua kuwa maisha ni popote, wanawaza kwenda nchi za nje, au mkoa wowote hapa Tanzania.

Wachaga kuwashinda ni ngumu japo inawezekana kama makabila mengine hatutaji-limit katika shughui za utafutaj mali.

Siku hizi wachaga wamevamia fani zifuatazo;
Udalalali
Uganga na uchawi
Kuuza mitishamba ya nguvu za kiume
Manabii nafikiri hapa wanataka kuchuana na Wanyakyusa
Uprojuza wa miziki
Umario kwa vijana
Udangaji kwa kinadada
Biashara za hatari

Kingine, wachaga wengi wao hasa kina dada wanapata airtime na upendeleo kwa kujipitisha pitisha na kwa watu wenye pesa na wakubwa, mathalani, viongozi wakubwa hapa nchini karibia nusu yao wameoa wachaga, yaani vichaga ni vimutu vya kujichomeka chomeka tuu bila kujali matokeo.

Kingine wachaga walichojitengenezea ni kasumba ya kuogopwa, yaani vijana wa makabila mengine huogopa kuwaoa mabinti wa kichaga kwa kuhofia kuwa wanapenda hela na watatozwa mahari kubwa, hii inapelekea vijana wengi wakipata pesa ndio wanaenda kuoa upande wa uchagani hii inafanya jamii ya kichaga kunufaika indirect kwa watoto wao kuolewa na watu wenye uwezo(japo sio wote).

Hii ni tofauti na sisi wa makabila mengine, kwanza tuna ile kasumba kuwa mtoto akiolewa akitolewa mahari sio kama unamuuza hivyo mahari tunaiweka ndogo au tuwatoe binti zetu sawa na bure. Hili jambo linapelekea dada zetu kuzidi kuolewa na vimtu vimasikini visivyo na mbele wala nyuma.

Kingine wanawake wa kichaga pia wanatabia ya kuleta fujo kwa mume wake hasa wa makabila mengine ikiwa atakuona huna mbele wala nyuma, kisha anakunyang'anya watoto na anawalea yeye mwenyewe kwa msaada wa ndugu zake wenye uwezo, wale watoto wakisoma na kufanikiwa ni mara chache sana kutukumbuka sisi baba wengine wa makabila ya nje.

Pia Wakwe wa kichaga ni rahisi kukunyanyasa kama huna muelekeo na hata ukisusa mke na watoto kwao sio shida wanawachukua watoto na mkeo anaweza kuolewa na mwingine au kubaki single mother.

Kunyang'anywa watoto ni kumalizwa nguvu hasa za uzeeni, kwani watoto wata-base zaidi upande wa kiukeni kuliko kwetu wanaume.

Hii ni tofauti na sisi wa makabila mengine, yaani unakuta dada zetu wanang'ang'ania mume hana mbele wala nyuma bado anampiga au ni mlevi kupitiliza na wazazi nao wanamshinikiza mtoto wako avumilie ndoa, pengine ni kwa sababu ya umasikini.

Wachaga kuwafananisha na Wakinga, au waha, au wapemba au kabila lolote ni dalili ya kutowajua vizuri na kutotembea ndani na nje ya nchi.

Mwisho; Sisi wote ni Watanzania, ukitaka kuwa mchaga unaruhusiwa, ukitaka kuwa Mhaya unaruhusiwa, ukitaka kuwa mkinga unaruhusiwa, unaruhusiwa kuoa yeyote ndani ya nchi hii. Usiumie ukiona kabila jingine linasifiwa.

Nawasilisha
Umeandika uharo mtupu. Eti wasukuma ni kilimo,ufugaji na biashara kidogo. Wasukuma wamekamata biashara ya madini na wanapiga kitabu kama nini. Isitoshe wasukuma ni wasanii wa ngoma za jadi na wengi wametajirika. Usikariri huu ni wakati mwingine kila kabila sasa limeamka.
 
Hivi muha ana biashara kubwa ? Zaidi ya kuwa wachuuzi tu kwenye masoko
Kweli kabisa hata ukisoma Kozi ya ujasiriamali ngazi ya shahada wanakuambia biashara wakati mwingine inatokana na asili
Kidunia Wahindi ndio wanaongoza kwa biashara, kwa bongo ni wachaga, waha, wakinga
 
Hujafanya utafiti wa kutosha kasome tena
Hawajatembea wapi?

Matajiri wa nchi hii tunawajua wachaga, sasa wewe sijui umetembea wapi huko wasipowajua hao jamaa

Wachaga wanaongoza Karibu kila biashara kubwa uijuayo.

Media kubwa
Itv, EAtv, Capital yawachaga

Mtandao MKUBWA wa kijamii Afrika mashariki
Jamii Forum, ni Mhaya na mchaga

Makampuni ya Mabasi ya 30% ni wachaga

Kampuni za ndege mbili Fastjet na Precise airline wachaga

Mashule binafsi mengi ya wachaga

Benki karibia tatu zinamilikiwa na wachaga

Nusu ya makampuni ya utalii hapa nchini humilikiwa na wachaga

Makamouni ya kuagiza vipuri vya magari kama 7General mengi humilikiwa na wachaga

Huwajui vizuri hao watu kamuulize Babaako au wakuu wa nchi wakuambie.

Wachaga wanamiliki baadhi ya vyuo hapa nchini

Wachaga wanashule za kutosha mathalan Baobao High school, Dar prime high school, na SHULE kubwa maarufu jina kapuni.

Huwajuit
 
Back
Top Bottom