aya ni maoni tu ya ndugu yangu Lissu. Sisi kama chama na viongozi tunampa Ndg. Hussein Ali Mwinyi kinachoitwa BENEFIT OF DOUBT. Kwa hatua ambazo Dkt. Hussein amezichukua mpaka sasa tangu awe Rais wa Zanzibar anastahili kupewa hiyo benefit of doubt,,HUKU NDO SURRENDER YENYEWE.
Basi waanzishe chama chao kisichofuata utaratibu maana hawawezi kujiamulia wao kwa mwamvuli wa chama cha siasa wakati wameanua wenyewe kwa sababu zao wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.