Habari za sahivi wana JamiiForums,
Naomba kujua kama umesoma veta hadi level 3, sasa unataka kwenda diploma je unaweza pewa mkopo, na kwa njia zipi?
Msaada tafadhali
samahani wana jamii forums,
ndugu yangu amehitimu veta katika fan ya ujenzi level 3, sasa anaomba ushauri
Aendelee kutafuta deploma ama
aende kusomea vocational assistance teacher.
maoni yenu jamani 🙏
wana jamii forums, naomba msaada wenu, alie hitimu veta level 3,
anaendelea na diploma naomba mniambie chuo gani bora kwa ajiri ya civil engineering_fani ya masonry. ahsante
Naulizia kibali cha kujenga, ukiwa na cheti level 3 unaruhusiwa kujenga nyumba yoyote bila engineer?
Kama ndiyo, nawezaje kupata kibali?
Naomba msaada wakuu
wana group nimegundua watu wanapitia magumu kuhusu punyeto...
NAAMINI KUPITIA HILI SOMO UTANISHUKURU
SOMO MUHIMU*
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾
Ili uweze kuacha kupiga punyeto fanya yafuatayo:-
➡️Andaa calendar ya mwezi mzima
➡️Kisha amua na sema nimeacha kuanzia leo.
➡️Kisha jiwekee target mfano, nataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.