Recent content by fredick

  1. fredick

    Unaweza kujiunga chuo kikuu kwa kutumia cheti cha VETA Level?

    bro nisaidie jinsi ya kuomba mkopo ukiwa unajiunga diploma kwa kutumia cheti cha veta level 3, na je inawezekana kweli
  2. fredick

    Je, naweza kupata mkopo nikitaka kusoma Diploma?

    Habari za sahivi wana JamiiForums, Naomba kujua kama umesoma veta hadi level 3, sasa unataka kwenda diploma je unaweza pewa mkopo, na kwa njia zipi? Msaada tafadhali
  3. fredick

    JAMANI NAOMBA USHAURI HAPA

    ahsante sana kwa ushauri wako
  4. fredick

    JAMANI NAOMBA USHAURI HAPA

    samahani wana jamii forums, ndugu yangu amehitimu veta katika fan ya ujenzi level 3, sasa anaomba ushauri Aendelee kutafuta deploma ama aende kusomea vocational assistance teacher. maoni yenu jamani 🙏
  5. fredick

    Mwendelezo wa level 4 civil engineering

    wana jamii forums, naomba msaada wenu, alie hitimu veta level 3, anaendelea na diploma naomba mniambie chuo gani bora kwa ajiri ya civil engineering_fani ya masonry. ahsante
  6. fredick

    Ukiwa na cheti Level 3 unaruhusiwa kujenga nyumba yoyote bila uwepo wa Mhandisi?

    Naulizia kibali cha kujenga, ukiwa na cheti level 3 unaruhusiwa kujenga nyumba yoyote bila engineer? Kama ndiyo, nawezaje kupata kibali? Naomba msaada wakuu
  7. fredick

    Jinsi ya kuacha punyeto

    wana group nimegundua watu wanapitia magumu kuhusu punyeto... NAAMINI KUPITIA HILI SOMO UTANISHUKURU SOMO MUHIMU* 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 Ili uweze kuacha kupiga punyeto fanya yafuatayo:- ➡️Andaa calendar ya mwezi mzima ➡️Kisha amua na sema nimeacha kuanzia leo. ➡️Kisha jiwekee target mfano, nataka...
  8. fredick

    Mshahara baada ya kuhitimu level 6 kwenye Civil Engineering Serikalini

    kweli kabisa na vipi ajira zenyewe sasa zinapatikana kweli??
  9. fredick

    Mshahara baada ya kuhitimu level 6 kwenye Civil Engineering Serikalini

    kwamba serikali haifanyi ajira kabisa kwenye hii sector
  10. fredick

    Mshahara baada ya kuhitimu level 6 kwenye Civil Engineering Serikalini

    Naomba kujua mshahara baada ya kuhitimu level 6 kwenye civil engineering serikalini.
Back
Top Bottom