Recent content by freddy philly

  1. F

    Chuo kikuu cha Dodoma vijana wanakufa njaa, mkopo hakuna

    Katika nchi maskini kam Tanzania huwa tuna kuwa na mipango hewa. Hawa special diploma waliwasili chuoni mwanzoni wa mwezi wa kumi na moja na kuanza mchakato wa kuomba mkopo kutoka bodi, tofaut na degree holder ambao hufany haya mapema wakiwa hom. Lakini pia cha kustaabisha ni kuwa mpaka juz...
  2. F

    Kampeni ya usafi sawa lakini DAWASCO maji shida Ubungo

    hili halina ubishi cha kushangaza pia kuwa ubungo hii ndipo wizara ya maji ilipo hatua mbele chache nipo ishi ubungo kibangu tunanunua maji dumu mia tano. Me nnachokiona kuna biashara inafanyika kati ya viongoz wa eneo husika na hawa wanaoyafata maji kwa magari nakuja kuuza kwa bei ya kununua...
  3. F

    Picha za toka nyumbani kwa mbunge Deo Filikunjombe, mjengo aliouacha, na ajali

    yote mapenzi ya Mola liimidiwe jina lake
  4. F

    Ujasiriamali Haujaribiwi Aiseee

    hapo umenena mdau
  5. F

    Kisa kudate bila kondom kaniacha

    me sijaelewa aliochomaanisha ..
Back
Top Bottom