Katika nchi maskini kam Tanzania huwa tuna kuwa na mipango hewa. Hawa special diploma waliwasili chuoni mwanzoni wa mwezi wa kumi na moja na kuanza mchakato wa kuomba mkopo kutoka bodi, tofaut na degree holder ambao hufany haya mapema wakiwa hom. Lakini pia cha kustaabisha ni kuwa mpaka juz...
hili halina ubishi cha kushangaza pia kuwa ubungo hii ndipo wizara ya maji ilipo hatua mbele chache nipo ishi ubungo kibangu tunanunua maji dumu mia tano. Me nnachokiona kuna biashara inafanyika kati ya viongoz wa eneo husika na hawa wanaoyafata maji kwa magari nakuja kuuza kwa bei ya kununua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.