Wanajamiii naomba msaada nimepoteza kadi ya bima ya afya ya taifa... Anayejua namna ya kupata nyingine na hata za kuifatilia kupata nyingine anisaidie....
Nawasilisha kwenu wadau..
samani wana jamii...nimepitelewa na kadi ya bima ya taiga ya afya..
msaada kwa anayejua namba na hatua za kupata nyingine... Nwasilisha kwenu karibu ni kwa msaada
UDSM HOME OF INTELLECTUALS
WACHACHE TUMEFANIKIWA KUSOMA HAPA.
naomba ieleweke kwamba udsm itabaki kua udsm tu... hakuna chuo chochote kinachoweza kujilinganisha na udsm .
ndo chuo cha taifa tena home of intellectuals....
hapa wanasoma wenye ufaulu wa juu. na tena ni ma genius tu...
udsm hakuna...
Tafadhali wakuu wenye kufamu hill watujuze.. je watu vwanaosoma bed science ( bachelor of education in science) je wanaweza ajiriwa
katika college au nao watakua waalimu wa sekondari ?.
Mimi ni mwalimu shule ya msingi, Niko nzega , nahitaji anayetaka kuja nzega tubadilishane, Mimi nataka kwenda moshi mjini au moshi vijijini arusha mjini, kwa anyehitaji ani PM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.