Hivi Tanzania ina wasomi wangapi na wasiosoma wangapi? Je,kati ya makundi hayo ni kundi gani linaoongoza kwa umaskini? Viongozi wa serikali,watumishi wa umma na private sectors siyo wasomi? au kwenu wasomi ni graduates tu ambao hawajaajiriwa? Inamaana hakuna graduates wanaofanya Mishe zao kimya...
Njoo Kigoma nunua tangawizi mbichi kuanzia mwezi wa sita kwa Tshs 400 kwa kilo, kata kwa ajili ya kukausha mpaka mwezi wa Tisa then utaamua uuze kwa kati ya 1500/= mpaka2300/= kwa kilo au subiri mwezi wa pili uuze 3500/= kwa kilo.Huhitaji kusafirisha,leseni wala ushuru wa aina yoyote bali lorry...
Sorry nimeshindwa Ku quote. Bei za machine za kisasa sijui kwakweli labda SIDO wanaweza kuwa na details zaidi. Huku niliko ni kijijini na hakuna mwenye hiyo mashine ya kisasa hivyo ni fursa nyingine hiyo kwani watu watakuwa wanakuja kukamua kwako na kukupa pesa au mawese.
Pia kama utakuwa na...
Njoo Kigoma kuna malighafi ya kutosha japo kwa sasa mawese yapo juu sana. Faida utakayopata ni kubwa sana endapo utaipata hiyo malighafi (magazi ). Kwa hapa nilipo changamoto ni ukosefu wa mashine za kukamulia.
Watu wanakamua locally kwa kutumia mitambo duni ya kuzunguka kwa kutumia mikono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.