Yaani ccm huku nikuishiwa live,angalieni tu taratibu watafika mahali watakamata kuku na hata viatu kwenda kuchunguza,intelegincia yenu inafanya kazi gani nyie mpaka mshindwe mkamkamate mfanyakazi.
Achani undezi bwana tumechoshwa na mambo yenu
Kaka siku zote tunachofanya kinatokana sana na tunachofikiri,kwa hiyo kilichotokea kwa komba.
Na hata akiomba radhi haitabadilisha kiwango cha udhalilishaji wa huyo binti.
Na kwa vile huyo Ni zaidi ya mtu mzima na kiongozi ktk nchi hii Ni vema akawajibishwa kama hataona kuna haja ya kufanya hivyo.
Nyie mnaoitetea ccm ni watu kibao na sio watu ccm,wenzenu kina nape nyauye ni siasa za kurithishana wapigieni debe ifike mahali nao wawaachie watoto wao,lkn nyie mtatokea wapi?
Mtaendelea na maisha yenu tu ya kawaida ya kuendelea kuhongwa fulana na kofia za ccm.
Sana sana na vielfu 5 baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.