Recent content by frank mkweli

  1. frank mkweli

    Wanasheria masuala ya kazi msaada tafadhali

    Habari wakuu vipi wazima? Mimi mzima nina swali naomba nikuulize. Hivi kuna Sheria ya kumshitaki mwajiri kama alikuwa haweki hela za NSSF na loan board ukamshitaki, na lingine kama bima yangu haifanyi kazi. Natakiwa nifanye nini na pia zile hela za helsb ambazo zimekatwa kwangu hazijaenda...
  2. frank mkweli

    Wanasheria naomba mpitie na hapa pia tunaomba msaada na mawazo yenu kisheria

    Asante sana mkuu umeclose kila kitu credit kwako, Nazani wewe ni mwanasheria?
  3. frank mkweli

    Wanasheria naomba mpitie na hapa pia tunaomba msaada na mawazo yenu kisheria

    Habari wakuu, nna jamaa yangu alikuwa anafanya Kazi kampuni tuiite X, lakin kampuni X ime outsource position yake kwenye kampuni Y ambayo kampuni Y ndo iliyo muajiri na kumpa mkataba na inahusika na issue zote za Mambo ya HR. Sasa katik Kazi kuna mengi kampuni X inamshutumu jamaa ameisababishia...
  4. frank mkweli

    Naomba kujua adhabu kisheria ya kesi ya kuisababishia hasara kampuni

    Je kama ni hasara ya pesa isiyo weza kujulikana kiasi chake itakuwaje?
  5. frank mkweli

    Naomba kujua adhabu kisheria ya kesi ya kuisababishia hasara kampuni

    Habari wakuu, naomba kujua Sheria inasemaje kuhusu adhabu kama utashitakiwa na kampuni kwamba umeisababishia hasara na kampuni kweli ikawa na ushahidi na ukapatikana na hatia kisheria. Natanguliza shukrani
  6. frank mkweli

    kuhusu contiuning student wasio na mkopo

    Chuoni kwetu tayar washaleta ayo majina
  7. frank mkweli

    VYUO VIKUU 17 BORA TANZANIA- By 2013 University Web Ranking

    kwel sjaona boya kama wewe pumb...fu, we ushaambiwa vyuo bora tz afu we unaleta habari za havard apa iv we mwanachuo au uko o,level...
  8. frank mkweli

    Je ni kweli ndg. Mulugo (n/waziri wa elimu )kasema haya?

    Kwan ndo huyu aliekoseaga english kipindi kile au.
  9. frank mkweli

    ndugu zangu MORALI YA CHUO ILIKATIKA SASA IMERUDI TENA.JKT MPAKA 2016

    Et joining istruction ntaipata wapi, zinatumwa posta au ad niende chuoni.
  10. frank mkweli

    SIELEWI....niende jeshini au niende chuoni

    itabid nijitoe photocopy original niende chuo afu copy yake niende jesh...
  11. frank mkweli

    wanafunzi wote wa kidato cha sita tuungane kwa tamko moja kupinga maamuzi ya jkt......awamu ya 3

    waache watusumbue na nchi yao ila 2015 wajue itakuwa zamu yetu kuwasumbua....!
Back
Top Bottom