Nauza camera yangu aina ya sumsung bei laki moja na nusu (150,000). Mazungumzo yapo kwa aliyenauhitaji. Mambo ya uchumi yamenibana sana mpaka nauza camera yangu
1. Ninaomba wimbo wa Kaz T akishirikishwa ila simkumbuki mwenye wimbo. Wimbo una maneno haya "Nilisema sikutaki, naninasema sikutaki, narudia tena oh sikutaki.....Nilikupa last chance, sasa huna nafasi
2. Mtoto akililia wembe- TOT band (Banza stone) na Papii kocha
3. Maji yakimwagika - Pamo...
Wabunge wengi wa CCM wakiongozwa na Anna Makinda kama spika na Job Ndugai wamekuwa hawaeleweki bungeni wapo kwa ajiri ya nani, mwananchi(mpiga kura) au serikali (watawala).
Japo kazi ya Mbunge ni kuwasilisha matatizo ya wananchi, lakini imekuwa kinyume kwa hawa wa CCM. Mfano
1. Wakati wa...
lakini pia alisema watu wa Geita wanamuomba akagombee huko....alipoenda kunadi chama chake shughuli aliiona
Alisema kuna wabunge zaidi ya 50 kutoka vyama vingine wanaomba kujiunga na ACT lakini mpaka leo siwaoni
Alisema wabunge wote wa upinzani toka kigoma ili wadhinde uchaguzi ujao lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.