Recent content by Frank Lyova

  1. Frank Lyova

    Nahitaji kufahamu nini chanzo cha majipu na tiba zake sehemu za siri

    sasa mkuu kama ni bawasiri mbona leo kinaanza kutoa usaha.. au bawasiri nayo hutoa usaha kama jipu
  2. Frank Lyova

    Nahitaji kufahamu nini chanzo cha majipu na tiba zake sehemu za siri

    Habari zenu wana JF, Kuna magonjwa mengine kama yanadharirisha hivi jinsi ya kuyatamka kwa watu.. lakin ndo hvyo waswahli walishatwambia mficha malazi kifo umuumbua.. Mimi ndugu zangu nina tatizo la jipu limenitokea kwenye makalio pemben kidogo mwa njia ya haja kubwa.. Ni kama uvimbe ulio...
  3. Frank Lyova

    Natafuta rafiki wa kiume

    Faith nitafute 0672 966987
  4. Frank Lyova

    Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

    kama hauna akili timamu uwezi kumuelewa gwajima. Ameongea kweli tupu.. Binafsi chanjo hyo siitaki
  5. Frank Lyova

    Nawashwa kwenye njia ya haja kubwa

    nimemeza mebendazole na albendazole
  6. Frank Lyova

    Nawashwa kwenye njia ya haja kubwa

    kwa bawasiri sidhani maana najisaidia choo cha kawaida tu, na nikijisaidia sipati maumivu yoyote maana mwenye bawasir husikia maumivu.. Mimi nahisi muwasho tu kwa nje pembeni mwa eneo la kutolea haja kubwa
  7. Frank Lyova

    Nawashwa kwenye njia ya haja kubwa

    wewe ulitumia dawa gani ukapona?
  8. Frank Lyova

    Nawashwa kwenye njia ya haja kubwa

    wewe ulikuwa unatumia dawa gani? nashukuru kiongozi nitajie jina la hiyo dawa niitafute
  9. Frank Lyova

    Nawashwa kwenye njia ya haja kubwa

    hapana sio kwa ndani.. Nawashwa eneo lanje
  10. Frank Lyova

    Nawashwa kwenye njia ya haja kubwa

    Kaka hakuna mabadiliko yoyote hizo sehemu.. Zaidi ya kuhisi muwasho tu
  11. Frank Lyova

    Nawashwa kwenye njia ya haja kubwa

    Habari wadau.. Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu.. Nina kama mwezi sasa nasumbuliwa na kuwashwa kwenye njia ya haja kubwa.. Nimeshameza dawa za minyoo lakini tatizo bado lipo.. Kwahyo naomba mwenye kujua tatizo hili na dawa yake anambie..
  12. Frank Lyova

    Msaada: Kuwashwa njia ya haja kubwa

    vipi kiongozi ulipona hilo tatizo unipe dawa na mimi nasumbuliwa hivyohivyo
  13. Frank Lyova

    Msaada: Kuwashwa njia ya haja kubwa

    ndugu nami nipe hyo dawa nina tatizo kama hilo na nimetumia dawa za minyoo lakini haikusaidia
Back
Top Bottom