Kuna mdau alipost biashara mbalimbali zaidi ya 50 ambazo mtu anaweza kufanya Lakin Hiyo topic sijaona tena Sijui imefutwa Kama kuna mdau anayo au alikopi naomba anitumie kwenye msg
asanteni
Malaysia 2009 walikamata Nyama ya kuku maelfu ya tani toka china,nyama ilikuwa ya mwaka 1960's waligandisha na kuweka chumvi na wanavyojua isiaribike,wachina Si watu kabisa
Soma na hapa
http://www.businessinsider.com/afp-decades-old-frozen-meat-seized-in-china-food-scandal-report-2015-6
Natumaini umu nitapata wahusika wenyewe au mtu anayejua gharama za kuprint gazeti Kama mfano ijumaa,kiu au Nipashe na mengineyo,naomba anijulishe pia na hizo kampuni zinazoprint
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.